Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Ni kweli kabisa, labda angemwambia pia kausha basi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeonaeee. Yaani mbio Hazard kaja kutuhoji wana jf wakati anaewaumiza shingo anaye huko Mtaani.
Ila mdogo wangu kuna vidada havina aibu hata kidogo huenda kangejichekesha, basi na hapo Hazard angelainika na asingeendelea nayo tena.