Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

To a ukuta wako, wewe ndie mkorofi kama umeamuwa kujenga fensi yeye yuko kwake na wewe uko kwako basi hupaswi kumuingilia.

Wewe mwenyewe unakero kibao, ana kuvumilia tyu hakuna mkamilifu
Basi nafuga nguruwe na yeye ni muislamu na sitasafisha banda kwa muda wa mwezi mmoja nione nani bingwa.!!
Ananiletea ukhanithi mimi.
 
Kaa na jirani yako muone mnatatua vipi suala Hilo... Ikishindikana nenda Kwa mamlaka husika. Ila usifanye Hila kupoteza uhai wa ng'0mbe wao hawana makosa.
Mwisho wa siku wote mtaacha ng'ombe na ukuta Hapa duniani.
Nimeshamuambia kero ya harufu ya mavi ya ng'ombe wake ila anajifanya hajali.
Ubaya ni ubaya tu.
 
Habari za leo?

Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.

Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.

Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.

Asanteni.
Bomoa huo ukuta
 
Habari za leo?

Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.

Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.

Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.

Asanteni.
Mwingine kujenga shimo la choo limeingi hadi kwenye kiwanja cha mwenzie
 
Sasa ng'ombe wamekosea nini? Aside kuna watu mna roho mbaya.
Wanyama hawana kosa. Mwenyekiti ng'ombe ndio washughulikiwe.
Ngo'ombe ndio wanampa kichwa huyo jirani... nikideal nae kwa kumdhuru yeye ni mbaya zaidi ya kudhuru hiyo mifugo.. sasa dawa ni ku deal na mifugo.
 
Huyo angenikuta mimi hilo banda angekuwa kashavunja kabla hajafikiria kulijenga.

My property is my fuccking property. Kama hauwezi fujo na ubane basi nenda kamshitaki na ahakikishe awe amevunja hilo banda ndani ya week 1 au utavunja mwenyewe, na hawezi kukudai sababu sehemu ni ya kwako. Njia pekee ya kudeal na mtu ambaye unajua ni mkorofi na mshenzi ni kuwa mshenzi na mkorofi zaidi yake.
 
Nakushauri mpuuze ,endelea na maisha Yako.


Ilimradi anafuga ng'ombe kwenye plot yake ndani Kwa ndani, mchukulie tu, maisha yaendelee. Ingekuwa nguruwe, harufu yake ndo mtihani.

Mke wako akijifungua, atakuuzia maziwa Bora kabisa.[emoji3][emoji3]

Ubarikiwe.
Yaani apuuzie alafu aendelee kusikiliza harufu za mavi wakati ametoa pesa ya jasho lake kununua hiyo sehemu?

Watu wengine ni mafala kinyama, mnaishi kwa kuogopa watu, fukking bizarre shit!
 
Ongeza urefu wa ukuta ili kukwepa harafu ya kinyesi na kuondoa kero za makelele....
Why achome pesa wakati anaweza kumwambia tu atoe hizo ng'ombe nyumbani kwake? Una miaka mingapi aisee mpaka kuja na nonsensical conclusion possible juu ya tatizo dogo?
 
Yaani apuuzie alafu aendelee kusikiliza harufu za mavi wakati ametoa pesa ya jasho lake kununua hiyo sehemu?

Watu wengine ni mafala kinyama, mnaishi kwa kuogopa watu, fukking bizarre shit!
Harufu ya mavi ya ng'ombe wa Jirani yamhusu nn?
 
Jipange uuze hapo amia kwingine, kushindana na mtu asiye mstaarabu utaumia wewe.
 
Hii kero ya kupanda miti ya kudumu mpakan na mimi imenikumba lakini ukimuelewesha anakuwa mkali zaidi ya pilipili kichaa.
Aisee sikia! Mtu mkorofi haeleweshwi sababu amejiandaa kutoelewa. Mtu mkorofi ni kuwa mkorofi zaidi yake. Kuna mpuuzi alikuwa analeta ujinga nikamwambia ukiendelea kuleta ufala nitakuja kukubonda. Right now amekuwa mpole na haniletei tena ujinga.

Hapa duniani kuna predators na preys au waoneaji na waoneajwi kama uko kundi la pili basi jiandae kuonewa. Cha msingi ni kuwa muonevu unayeonea waonevu wengine ili uishi kwa amani.

Mimi napenda sana mtu anichokoze nimwambie alafu ajifanye mkali, hapo unakuwa umenipa sababu ya kukumaliza na kitakachofuata ni lazima ujute. Hiyo ndio njia pekee ya kuishi na watu kwa amani. Wanasema If you want peace, parabellum. Kama unataka amani basi jiandae kwa vita.
 
Pole kwa kadhia ya jiranyako.
Kwanza huo ukuta ni WA kwako ama wa kwenu?

Ukuta ni unakuwa WA kwako kama umejenga Kwa kuacha nafasi walau mita 2 kutoka jiwe la mpaka Ili na yeye ajenge wa kwake Kwa kuacha umbali huohu kutoka kjiwe lenu la mpaka.

Ukuta unakuwa wa kwenu wote kama mmekubaliana msiache kichochoro bali mjenge kufuata mpaka wa jiwe. Hapa haijalishi mmechangia ama amejenga mmoja wenu. Ilimradi hakuna nafasi iliyoachwa basi baina ya jiwe la mpaka basi huo ukuta unakuwa WA kwenu wote na kila mtu ana haki ya kuutumia.

Kama utataka jirani mkorofi asitumie ukuta wako, vunja huo na jenga mwingine Kwa kufuata Sheria.

Isije kuwa unamwonea wivu huyo jirani yako Kwa sababu unaona anakupiga gepu Kwa kumiliki mang'ombe, maana majirani hampendagi kupitwa.

Ngombe wake wako upande wake na wanachafua ukuta huo upande wake Sasa wewe shida Nini? Kama ukuta utaanguka ama kuharibika sehemu aliyojenga banda basi gharama za matengenezo ziatoka kwake.

Jirani punguza wivu, relax, ongea na jirani yako nawe jifunze ufugaji kutoka kwake baada ya hapo hutajuta kupata jirani mfugaji bali atakuwa baraka kwako
PUMBA!
 
Huo ukuta utengenezee namna siku udodonke usiku uuwe hao ng'ombe wake
Alafu asubuhi anza kumlaumu kwanini anafugia ng'ombe kwenye ukuta wako alafu mwambie ona sasa mifugo yako imedondosha ukuta na imekufa .

Mwisho mpe pole kwa yaliyotokea atakuwa kajifunza

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hii ni lose lose situation🤣
 
Ngo'ombe ndio wanampa kichwa huyo jirani... nikideal nae kwa kumdhuru yeye ni mbaya zaidi ya kudhuru hiyo mifugo.. sasa dawa ni ku deal na mifugo.
Kufanyiana vitu vibaya haina mwisho.Kumfanyia mwenzako is just escalation. Unazidisha tu uhasama na hujui retaliation itakuwaje.
 
Back
Top Bottom