Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

Why achome pesa wakati anaweza kumwambia tu atoe hizo ng'ombe nyumbani kwake? Una miaka mingapi aisee mpaka kuja na nonsensical conclusion possible juu ya tatizo dogo?
Why calling it nonsensical conclusion.?

Sina uhakika kama uliishawahi kuishi uswahilini, yaani unachulia mambo simple tu eti umwambie aamishe mifugo yake...🤔🤔

Inaonekana hiyo mifugo ulimnunulia wewe, inaonekana umeisha mtafutia pa kupeleka atakapo toa kwake.

Hebu uwe unatoa comments zenye mashiko.
 
Aisee sikia! Mtu mkorofi haeleweshwi sababu amejiandaa kutoelewa. Mtu mkorofi ni kuwa mkorofi zaidi yake. Kuna mpuuzi alikuwa analeta ujinga nikamwambia ukiendelea kuleta ufala nitakuja kukubonda. Right now amekuwa mpole na haniletei tena ujinga.

Hapa duniani kuna predators na preys au waoneaji na waoneajwi kama uko kundi la pili basi jiandae kuonewa. Cha msingi ni kuwa muonevu unayeonea waonevu wengine ili uishi kwa amani.

Mimi napenda sana mtu anichokoze nimwambie alafu ajifanye mkali, hapo unakuwa umenipa sababu ya kukumaliza na kitakachofuata ni lazima ujute. Hiyo ndio njia pekee ya kuishi na watu kwa amani. Wanasema If you want peace, parabellum. Kama unataka amani basi jiandae kwa vita.
Thanks for good message. Na mimi nimeamua kuwaonesha makucha yangu. Kwanza nilikamata mmoja akalala ndani alipotoka akawa mpole, bado kuna ndugu zake kenge flani hivi nao nataka siku wakikohoa tu nikaskia nasweka ndani maan walikuwa wananiambia siwafanyi kitu eti nawasha moto nisioweza kuuzima. Ghafla wakashangaa gari inakuja imejaa askari, alivyotoka mdomo ukaisha. Mimi ni mkorofi sn tena sn tu nilikopita kusoma kote wananijua walioniletea dharau, hata uraiani kuna wanaonijua kwa maamuzi yangu magumu ila huwa sichokozi mtu huwa nasubiriwa tu nichokozwe. Ila hawa majirani kwa vile siishi nao hapo kwa hiyo wananichukulia poa. Kwa hiyo hata mimi huwa nina apply hii kanuni yako, akikuletea ukorofi wewe kuwa mkorofi zaidi yake.

Asante kwa kuniongezea nguvu.
 
Habari za leo?

Kuna jirani yangu hapa mtaani anafuga ng'ombe. Kawajengea banda kwenye ukuta wa fensi niliojenga mimi na anajaza kifusi cha mavi ya ng'ombe kwenye ukuta huo na kupelekea harufu kali kwa upande wangu hasa kwenye madirisha ya nyumbani.

Naomba mbinu nzuri ya kumtia adabu iwe ya kisheria au ya kibabe. Maana haya maeneo yamepimwa kwa ajili ya makazi na sio ufugaji wa ng'ombe.

Tulishamwambia awe mstaarabu kwa kutokurundika mavi mengi ya ng'ombe na kuleta kero kwetu, tunaona analeta dharau, sasa nimeamua ubaya ubaya liwalo na liwe.

Asanteni.
Kwann ulijenga ukuta mpakani?????
 
Huo ukuta utengenezee namna siku udodonke usiku uuwe hao ng'ombe wake
Alafu asubuhi anza kumlaumu kwanini anafugia ng'ombe kwenye ukuta wako alafu mwambie ona sasa mifugo yako imedondosha ukuta na imekufa .

Mwisho mpe pole kwa yaliyotokea atakuwa kajifunza

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Pia atalipwa ujue 😂😂😂😂
 
Mi nina jirani kama wako yeye kaamua kufuga nguruwe bado namfikiria kumtia hasara, kuna mwingine alikuwa anakuja kuchungia mbuzi wake kwenye kiwanja changu nikamwambia hakusikia, nlinunua debe la mahindi nikaliweka maeneo mbuzi wakaja kula mahindi yote, kiwanja changu kipp mtoni wakaenda kunywa maji, jioni akaja kuwachukua wameshiba balaa, usiku alikuta maiti ya mbuzi zaidi ya 10
Safi sana

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mi nina jirani kama wako yeye kaamua kufuga nguruwe bado namfikiria kumtia hasara, kuna mwingine alikuwa anakuja kuchungia mbuzi wake kwenye kiwanja changu nikamwambia hakusikia, nlinunua debe la mahindi nikaliweka maeneo mbuzi wakaja kula mahindi yote, kiwanja changu kipp mtoni wakaenda kunywa maji, jioni akaja kuwachukua wameshiba balaa, usiku alikuta maiti ya mbuzi zaidi ya 10
Duuuuh watu mpo siriazi.
 
Mtu yoyote anayegombania mpaka au eneo kwangu namuona hana akili kwasababu hakuna aliyewahi kuzikwa navyo hvyo.
Kweli, kwetu jirani kajenga hadi kwenye eneo letu,yaani pikipiki zikipita inakuwa shida ukuta wetu unanusurika kugongwa,

Sasa jirani alisikika akisema "kama anataka nibomoe hapa anilipe million moja"

Kafa mwaka jana,nimejifunza kitu,coz baba yetu aliyejenga kafa na huyu baba jirani kafa na hakuna aliyezikwa na nyumba yake, wamekufa wameviacha.
 
Back
Top Bottom