Oscar umenielewa vzr sna ,kaka angu mm Ana ghorofa kubwa tu SAS Kuna wakt naishi kwake nilkuwa napenda sna kukah kwenye balcony Basi Kuna jirani yake ana nyumba kubwa tu nzuri ila Ni hz kawaida aloo nilikuwa na over view shughli zake zote alizokuwa anazifanya Mar nyingi sna nilkuwa naona watot wake Wakioga ,mke wake nimemchungulia sna tu na na ndipo na mm nimejuwa kuishi na mtu mwemye ghorofa Ni hatari sna kwa usalma wa family yako ,ili fika hatu ikawa siendi Tena kwenye balcony mnk inakuwa Kama namchora Mara katoka chooni maara Ana kunnywa chai