princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
sema humu skuizi sijui kupoje..Wanakosoa ila hawaachi kusoma...na hawaachi kutazama kama mwendelezo umetumwa au lah.
ujue zamani hatukuaga na complain za ajabu ajabu
mbasubiri mtu anakuja kupost mnasoma maisha yanaenda.. umeweka story kibao ila hii utapata changamoto za huo ujinga
yani wanataka mtu usifanye mambo mengine