Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

Haya mawazo ya kutoa umuhimu na uzito mkubwa kwny kuoa au kuolewa sijui kabla ya miaka 30, ni...

Mawazo ya zama za giza, mawazo ya kijinga na kipuuzi, yaliyo kwny jamii za watu wajinga.

Ni mawazo yaliyojaa ukengefu, upogo na upofu, wa jamii masikini hasa kutoka dunia ya tatu.

Ni mawazo finyu, yanayotokana na uelewa finyu wa dunia na maisha kiujumla.

Mawazo mufilisi kama haya huwezi kuyakuta kwny jamii zilizoendelea kifikra, Kama vile Ulaya, Korea na Japan.
Vp china
 
Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.

Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.

kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.

Bro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
Dogo sisi tumefika 45 tupo single......haya tupe ushauri mdogo wetu
 
Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.

Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.

kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.

Bro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
Certified Hater 🤣 🤣 🤣 time is makangability.
 
Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.

Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.

kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.

Bro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
Swala la ndoa linakuja kwa wakati wala haina haja ya kulazimisha maisha hayana formular unaweza kuwahi vikakushinda na ukachelewa ila ukapata mwenza sahihi.
 
Back
Top Bottom