Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.

Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.

kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.

Bro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
Mkuu huu ujumbe unawahusu mafeminist ya jf au ni kwa wanawake watulivu wanaokubali nafasi yao kama wanamake eti, au pia haya madume jike humu jf manungaiyembe ya haki sawa yanahusika ?!
 
Sio lazimaa uoe au kuolewa na harusi kubwa Ila usifike miaka 30 ukiwa single.

Maisha ni kama kamari kuna kupata na kukosa usiogope kuoa kwa sababu uchumi haupo sawa.

kumbuka unaweza kuoa ukiwa maskini ukatajirika na pia unaweza kuoa ukiwa tajiri ukafilisika pia.

Bro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
Mleta Uzi umepuyanga sana na hujui unaloliandika hapa au naweza nikasema umekurupuka.
Maisha ya Sasa Kila Mtu ana vipaumbele vyake inakuwaje kwa Akili zako timamu unakuja kukurupuka na kuanzisha Uzi ? Sometimes jaribu kutafakari kabla ya kupost kitu sensitive kama ndoa.
Ndoa sio ishu ya kukurupuka tu na ndio maana ndoa za hawa wa mitandaoni Wanaitwa Macerebrity zinakuwa zinavunjika hata mwaka mmoja hazimalizi. Ndoa ni jambo gumu na sio rahisi kama Akili yako inavyokutuma kuanzisha Uzi hapa.
Umezungumzia masuala ya hali ya kipato na kumpata Soulmate hapo Nako umepuyanga. Kila jambo huwa linakuja kwa wakati wake na kama kitu kipo kwa Akili yako haina haja ya kupaniki uko na Wewe uonekane umefanya jambo Fulani kumbe ni tofauti na hali halisi.
Jiulize ni Mademu wangapi ulipita nao kabla haujaoa na hao wote uliwapa ahadi ya kuwaoa?
Umeleta Uzi kupanikisha watu na kuwajaza watu sumu.
Always Maamuzi unayoyachukua Sasa ndio yanayoamua hatima yako.
Kuoa ni automatic case sio mpaka ufikie umri Fulani. Mbona uliamua kuondoka kwa wazazi wako bila hata kufukuzwa ? It came automatically and You said Goodbye to your parents.

Naishia hapa mambo ni mengi.
 
Sipangishi mibaba mikubwa km wewe unayetafutana vitoto usije kunibaka maza hausi bure 😂😂😂😂
Sasa wewe ndio mkubwa mwenzangu, hawa watoto kiukwel stress tupu jirani, fanya tuhifadhiane nafasi, halafu nipate na mteremko kukaa kwangu, maana nikishakua wako, kwako ni kwangu jirani.😅😅😅
 
Mwaka 2016 nilikuwa na miaka 23 na ndio kijana wangu wa kwanza nilimpata. Ilikuwa raha iliyoje nambeba natetemeka siamin kama na mim leo nimeanza kuitwa baba.
 
Back
Top Bottom