π³π³ pole aiseee.!! Haya mahusiano ya ndoa sio ya kukurupukia hata kidogo.!!Mie nilitaka kuchinjwa Kabisa....nilikimbilia mahakamani badala ya kituo cha police..,,,Nasema hiviii..,,,taratibu ndiyo mwendooo
Jirani bana uligomaa kunipangisha kwako, sasa vyumba havipatikani nimeamua nikae kwa mama.Nilitaka nikuite bora umejiwahi mwenyewe jirani πππ
Olewa jirani rutubisha mayai hayo. Unaelkea floor no 4 Sasa.π πππππ Kaka bora umeongea ukweli kuliko huyu anataka kutuingiza mkenge
Hasa Kwa wewe unaejifanya wapenda BAD BOY, wale wa vijana tuliokulia kanisani Msikitin hututaki, ambao tunaitwa HUSBAND MATERIAL.π³π³ pole aiseee.!! Haya mahusiano ya ndoa sio ya kukurupukia hata kidogo.!!
Kijana anaishi mjini kwao katoka kitambo,hata ile kuwasiliana na wazazi wake ni nadra sio rahisi kupata ushauri wa ndoa.Kama wazazi wako wana akili. Ndoa unaifunga mapema sana
Kwa nini mkuu, hutaki nikae kwetu unataka nikae wapi?. Kama Sina mke au mtoto kunahaja yakupanga au nijenge nyumba nyingine nahuku Sina kazi, hizo pesa nazitoa wapi?. Ngoja niendelee kujitafuta labda nikifikisha miaka 50/60 naweza nikaenda kupanga.Jipige kifue useme mm ni kiazi mbatata a.k.a hasara ya wazazi
Kiboko yamiee Hivi saivi una mingapii vileee?????ππππ
Pole kwa kutapeliwa mkuuNingerudishwa 5 years nyuma ili nisahihishe makosa kwenye maisha yangu basi hili la kuoa nisingejiingiza mkenge tena
Nishavuka 18 sweetheart...Kiboko yamiee Hivi saivi una mingapii vileee?????ππππ
Hahahaha! I love that age of yours lo!Nishavuka 18 sweetheart...
Sipangishi mibaba mikubwa km wewe unayetafuna vitoto usije kunibaka maza hausi bure ππππJirani bana uligomaa kunipangisha kwako, sasa vyumba havipatikani nimeamua nikae kwa mama.
Shida nn mkuuNingerudishwa 5 years nyuma ili nisahihishe makosa kwenye maisha yangu basi hili la kuoa nisingejiingiza mkenge tena
Nikutuliza akili na umcheki uyo mtu yukoje..π³π³ pole aiseee.!! Haya mahusiano ya ndoa sio ya kukurupukia hata kidogo.!!
Yeahπ³π³ pole aiseee.!! Haya mahusiano ya ndoa sio ya kukurupukia hata kidogo.!!
Kwa nini mkuuNingerudishwa 5 years nyuma ili nisahihishe makosa kwenye maisha yangu basi hili la kuoa nisingejiingiza mkenge tena
Hapa kuna kitu umemaanishaBro kama ukipata soulmate wako usichelewe. Anza nae maisha hata kama mtakua mnaishi kwa room moja muanzie hapo mkue pamoja.
MajutoNingerudishwa 5 years nyuma ili nisahihishe makosa kwenye maisha yangu basi hili la kuoa nisingejiingiza mkenge tena