Kallenge Nelson
Senior Member
- Mar 6, 2021
- 113
- 83
Mkuu PID ni ugonjwa gani.Unaitwa mzungwa ni dawa ya PID kwa kina dada ni dawa pia ya uzazi kwa wanao tafuta mtoto pia ni dawa ya madonda ya tumbo na mengine mengi tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu PID ni ugonjwa gani.Unaitwa mzungwa ni dawa ya PID kwa kina dada ni dawa pia ya uzazi kwa wanao tafuta mtoto pia ni dawa ya madonda ya tumbo na mengine mengi tu...
Mbese!...😳 Ndi mwiyi forum kuva itanguye 2008,ndagusanganile wewe.😀Tulashashe i jamii forums
Ikingili ni kinyakyusa eeHii ni dawa safi sana,kwetu tunauita mkingili(ikingili) ukiacha magonjwa madogomadogo mengi ambayo mmea huu huweza kutibu kwa mafanikio makubwa nilipata jingine kwa rafiki yangu muhindi,yeye kwake ameyapanda kila sehemu kuzunguka ua wake...
Hahahaha, basi ulakozeMbese!...😳 Ndi mwiyi forum kuva itanguye 2008,ndagusanganile wewe.😀
Ulakoze nawe mwenewachu.Hahahaha, basi ulakoze
OkUlakoze nawe mwenewachu
Hakuna mmea unaozuia mchawi, wala mifupa ya nguruwe. Mchawi anazuiwa kwa maombi na sala.Hii ni dawa safi sana,kwetu tunauita mkingili(ikingili) ukiacha magonjwa madogomadogo mengi ambayo mmea huu huweza kutibu kwa mafanikio makubwa nilipata jingine kwa rafiki yangu muhindi,yeye kwake ameyapanda kila sehemu kuzunguka ua wake...
Mkuu umeanza ujuaji wako Wa sala,wewe amimi kati sala,pia waache wengine waamini katika mimea,wewe umejuaje kuwa uko sahihi kwa njia uliyoamua kuifuata?Hakuna mmea unaozuia mchawi, wala mifupa ya nguruwe. Mchawi anazuiwa kwa maombi na sala.
Kweli kabisaWakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki.
Nimekaa na kufikiri ni jinsi gani wazee wetu walikuwa wataalamu Wa tiba asilia lakini walikuwa wagumu sana kufundisha watu wakaribu yao ,matokeo yake walikufa na maarifa yao,kwa Leo Mimi sitaki kufanana na hao wahenga...
Hata mikoa ya Kaskazini huo mmea unaitwa ikingili unapandwa kwenye mipaka ya shambaIkingili ni kinyakyusa ee
HiiTafadhali weka picha mkuu maa ile ya mwanzo Kama ni ua la kutambaa
Unaota?Hakuna mmea unaozuia mchawi, wala mifupa ya nguruwe. Mchawi anazuiwa kwa maombi na sala.
Unaitwa MPATAKUFA/MPATA KUVA.Wakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki.
Nimekaa na kufikiri ni jinsi gani wazee wetu walikuwa wataalamu Wa tiba asilia lakini walikuwa wagumu sana kufundisha watu wakaribu yao ,matokeo yake walikufa na maarifa yao,kwa Leo Mimi sitaki kufanana na hao wahenga....
Ni tiba ya pid na chango kwa wanawake pia.