Jiulize ni kwanini Jordan na wengine wamekataa kupokea wakimbizi wa Palestine

hayo ni mambo ya biashara, tofautisha na ugaidi.
 
Philistine, one of a people of Aegean origin who settled on the southern coast of Palestine in the 12th century.

Document nzima hakuna iliposema palestines ni wafilisti. Hilo eneo la "Gaza" tokea kipindi cha Biblia liliiitwa PALESTINE hivyo wafilisti waliishi PALESTINE!! so kwa sasa Wafilisti walishapotea kama makabila 10 ya Israel yalivyopotea so hao wakazi wapya ndio wanaitwa PALESTINES sababu wanaishi PALESTINE na sio kwa sababu kuna kabila linaitwa hivyo kwa enzi hizo.
 
Kwahiyo kudhamini makundi ya waasi huko Katanga ni biashara sio ugaidi? Okay!!
hauna evidence ya hilo kwa vyovyote vile, no evidence no right to speak. kama wangehitaji hayo madini, wanashindwa nini kuongea vizuri na mmiliki wa TP mazembe ambaye ni myahudi (babake alikuwa myahudi kabisa na mamake mkongo) ili wayapate? unafikiri wangeshindwa kuyapata hadi wayanunue toka kwa waasi?
 
Mh. Lowasa alisema elimu, elimu, elim baadhi tukamcheka nikiwemo Mimi kumbe alimaanisha
Lowassa Alilisitiza hilo akiwa Chadema akiwaongelesha Chadema akitegemea viongozi wa ke Wa Juu Mbowe Mwenyekiti wa Chadema taifa ambaye ni form six division zero nabKatibu Mkuu wa Chadema Mnyika form four akiwahimiza wasome kuwa hawawezi ongoza wenye digrii kama yeye ,Tundu Lisu nk wenye digrii

Lakini hadi leo wamegoma kusoma kelele za elimu,elimu elimu hazijafanikiwa Chadema
 
Sijawahi kuongea kitu bila ushahidi
Dan Gertler - the man at the centre of DR Congo corruption allegations
Huyo bwana Dan Gertler ndio lobbyist wao kuvuna madini DRC kwa kusambaza silaha wachinjane huku yeye akibeba madini kupeleka Israel.

Na hiyo ni article ya BBC moja ya jewish propaganda media na ikumbukwe USA ilimuwekea vikwazo pia!! Sasa majizi kama haya mbona husemi yakataliwe nchi nyingine? Au sababu sio mpalestina basi ana haki ya kuua na kupora?
 
my friend, Isarel ana uhusiano mkubwa sana na Kagame kutokana na historia ya genocides. wala asingehangaika na individual person. hata kagame tu alitosha kuwavushia mzigo. hata hivyo, hata kama walihusiana na huyo candidate hapo juu, huwezi linganisha na magaidi wa kipalestina. kumpa mtu silaha ni sawa na vile tu anafanya Iran kwa maslahi yake binafsi. ila hatujasema iran ni gaidi.
 
huwezi linganisha na magaidi wa kipalestina
Duuh hivi unajua drc tokea vita zianze yaani 1997-2003 pekee walikufa watu million 5!! Unawezaje sema ni nafuu kuliko Palestines? Wamewahi chochea vita ikaua watu million 5?
 

Sababu ndivyo watakavyo wayahudi.
 
Sababu ndivyo watakavyo wayahudi.
waarabu wanaogopa, wakiwapokea tu, gaza itaanza kujengwa mijengo mipya ya wayahudi soon, na they would never get back pale gaza tena. ukiangalia ramani halisi ya israel, imecomprise hadi Gaza, hadi westbank yote ipo ndani ya ramani yao. ndoto yao ni kuwa pale pote hapatakuwa na kugawana, panatakiwa kuwa israel. na itakuwa hivyo tu.
 
Sio kweli, hiyo Jordan yenyewe 60% ya raia wake ni wapalestina!!
Walichosema ni kwamba wakiondoka hapo Israel inaweza occupy Gaza na kufanya sehemu ya Israel.
Wakiwauwa woote Ndio hawawezi occupy Gaza??
 
Facts tupu mkuu ila Kuna vichwa vibovu humu vitakushambulia kwa bandiko hili.
 
Una dhambi wewe, unataka wauliwe kama wenzao Wapalestina?
 
Mwaka gani huo? Kwa hiyo ana digrii? Kwa nini asiende chuo kingine akasome?
Alifungiwa ndani na nje, so hta akiforce akaenda ulaya bado TCU haitotambua cheti chake.

Hana cheti cha degree ila amesoma semesters 5 za degree..kwa nchi za wenzetu angepewa "Associate Degree"
 
Wakiwauwa woote Ndio hawawezi occupy Gaza??
It's hard kuuwa watu million 2 na dunia ikuangalie tu. Hata hiyo US itakata misaada na Israel inaweza fukuzwa UN na kuwekewa vikwazo.
 
It's hard kuuwa watu million 2 na dunia ikuangalie tu. Hata hiyo US itakata misaada na Israel inaweza fukuzwa UN na kuwekewa vikwazo.
Kwani sasa hivi wanacho kifanya hakina mlingano??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…