Jiulize ni kwanini Jordan na wengine wamekataa kupokea wakimbizi wa Palestine

Kwani Hospitali imeafanyaje, USA ndio imepiga hospitali?

Waarabu wajinga tu aise🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa hiyo nasisi tukiwakaribisha , watatutoa kabisa kitandani
 
Hv ni wamekataa au hakuna room ya watu wa gaza kutoka nje ya gaza?
Nilisikia Misri imekataa wasivuke boda, tena wamehamishia vikosi vya jeshi mpakani mwa Gaza na wao
 
Nilisikia Misri imekataa wasivuke boda, tena wamehamishia vikosi vya jeshi mpakani mwa Gaza na wao

Sehemu ya kivuko toka gaza kwenda misri ilishambuliwa na israel misri kwa kinachoendelea wako tayari kuwapokea issue ni mpaka haupitiki kwa sasa
 
It's hard kuuwa watu million 2 na dunia ikuangalie tu. Hata hiyo US itakata misaada na Israel inaweza fukuzwa UN na kuwekewa vikwazo.
Kwa taarifa yako Israel ndio Marekani na Marekani ndio Israel

Marekani ni jimbo la Israel na Israel ni jimbo la Marekani
 

Wajifunze kwa Lebanon, mpaka Leo nchi haikaliki. Mimi huwa nasema hata Palestine wakipewa uhuru wao Leo, watapigana wao kwa wao.
 
Wanaume hawahami nchi yao kijinga, hata wakihama ndio itakua hatari zaidi, wana haki na pale walipoachiwa na mababu zao, afu Al Qudsu vipi, waachiwe wainajis. Yahudi atachemsha tu anashindana na nguvu za aliyemuumba,
Kasome Qoran utajua Land ni ya Nani..
 
Hao Arabs waliingia Israel na Tawala wao aliyeitwa Omary they are not wafilisti hayo majinga tena mengi ni kutokea Misri kama Arafat
 
Zalensky alishtuka mwishoni kabisa ndio akazuia watu wake hasa wanaume wasitoke nje wabaki waipiganie nchi yao .

Hizo nchi ulizozitaja zinaonesha mapenzi ya dhati kabisa Kwa jamaa yao




MAGUFULI4LIFE.

So hata watoto hawaruhusiwi kutoka. Nadhani wanahusu wakimbizi au watu wasiojiweza
 
Sio kweli, hiyo Jordan yenyewe 60% ya raia wake ni wapalestina!!
Walichosema ni kwamba wakiondoka hapo Israel inaweza occupy Gaza na kufanya sehemu ya Israel.

Hao walienda kule Kama wakimbizi, na mwaka 1970 walitaka kumpindua King Hussein wakashindwa, lile jeshi lao likatupwa Lebanon, ndipo linamsumbua mpaka Leo kupitia hizbollah.
 
Ish sionwakimbizi ..watu mil 1.2 ni wachache Sana wakigawana, HIV unajua kuwa wakiwapokea Gaza itabak empty na Israel unaweza pachukua mazima
 
Kwahiyo bora wakae wauawe?? Yuko wapi Iran super power wa mchongo!
 
Kwahiyo bora wakae wauawe?? Yuko wapi Iran super power wa mchongo!
 
Mkuu uchambuzi mzuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…