CCM ina hofu gani kwasababu Baraza la Katiba la Ofisi ya Waziri Mkuu Mwenyewe limetaka Serikali tatu meaning Serikali ya CCM yenyewe inataka serikali 3
mmeanza sarakasi eeh!!
Mambo mapya yameibuka huku mitaani hususani kwa wanachama wa CCM kuingiwa na hofu baada ya Jaji Warioba Kukabidhi Rasimu ya Pili ya Katiba kwa Rais.
Hofu ilitanda baada Kauli mbiu ya Viongozi wa Kitaifa wa CCM kama Bulembo Nape Kinana na hata Mzee Kingunge kukataa Mfumo wa Serikali 3 na kupigia chapuo mfumo wa seikali 2 na Rais kutopunguziwa Madaraka. Hata hivyo baada ya Nape Nnauye na Kinana kufanya kampeni kuzunguka nchi nzima kuponda Wapinzani na Wanaharakati pamoja na Wale Waliopendekeza Serikali 3 bado Wananchi Wameipitisha Rasimu ambayo ina mambo ambayo ccm hawakupenda yaguswe ila yamepita kwa 64%.
Hapo ktk 64% ndipo wanaccm waliposhituka kuwa kwa takwimu hzo si nzuri kwao kwani ni kiashiria kwa wao kutokubalika kwa wananchi kama ilivyo kwa Wapinzani hasa cdm waliozunguka na mapendekezo yao wananchi wameyakubali kwa 64%.
Swali rahisi ni kuwa ccm kwa walivyojinasibu kuwa wanawanachama wengi kumbe sivyo ilivyo waliambulia 36% tu.
Watanzania sio wale wa zidumu fikira za fulani.
CCM nendeni na wakati na wala msipinge yale ya Wapinzani maana ni aibu mwisho wa siku.
safi sana,unafiki sio mzuri,hii ikipita,kesho utamuona au kumsikia nape akisema serikali tatu ni agenda yao.
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Mkuu tunashukuru kwa taarifa lanini,binafsi sijaemewa hebu fafanua hizi kura zilipigwa lini?
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
...basi komaeni na serikali mbili mpaka mwisho muone mnavokula cha mbavu asubuhi na mapema...Iwe Serikali 3 au Serikali 2 CCM itaendelea kukamata dola.
Ndio maana nilimaliza kwa kusema watanzania sio wale wa zama za ndio mzee.
Na sijasema wanachama wa Upinzani nimesema CCM waangalie nini Wananchi wanataka ili isiwe aibu kwao.
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Iwe Serikali 3 au Serikali 2 CCM itaendelea kukamata dola.
Si kweli kwamba Watanzania 60% waliotaka serikali tatu wanaunga mkono Upinzani kumbuka pia kuna WanaCCM ndani ya hili kundi waliunga mkono pendekezo la kuwepo kwa serikali tatu na pia sio kweli kuwa katika lile kundi la Watanzania (30%) lililounga mkono serikali mbili wote ni WanaCCM ukweli ni kwamba kulikuwepo Watanzania wanaounga mkono Upinzani lakini walitaka serikali mbili.Get your facts right please!