JK: CCM Tujiandae kisaikolojia muundo wa serikali tatu

JK: CCM Tujiandae kisaikolojia muundo wa serikali tatu

CCM ina hofu gani kwasababu Baraza la Katiba la Ofisi ya Waziri Mkuu Mwenyewe limetaka Serikali tatu meaning Serikali ya CCM yenyewe inataka serikali 3

Hahaaa mnabebwa na mageuzi.
Mwenyekiti wa CCM taifa aliwaambia CCM wajiandae Kisaikolojia kumbe hamkumwelewa alijua ccm hawataki katiba iguswe.
Kumbuka kauli za Nape Kingunge Kinana Bulembo Werema na na wengine wengi.
 
Uwe unaota ndoto nzuri wakati mwingine,
Hakuna chama cha upinzani chenye uwezo wa kuchukua dola;
labda mpaka Kristo arudipo kwa mara ya pili.
 
Mambo mapya yameibuka huku mitaani hususani kwa wanachama wa CCM kuingiwa na hofu baada ya Jaji Warioba Kukabidhi Rasimu ya Pili ya Katiba kwa Rais.
Hofu ilitanda baada Kauli mbiu ya Viongozi wa Kitaifa wa CCM kama Bulembo Nape Kinana na hata Mzee Kingunge kukataa Mfumo wa Serikali 3 na kupigia chapuo mfumo wa seikali 2 na Rais kutopunguziwa Madaraka. Hata hivyo baada ya Nape Nnauye na Kinana kufanya kampeni kuzunguka nchi nzima kuponda Wapinzani na Wanaharakati pamoja na Wale Waliopendekeza Serikali 3 bado Wananchi Wameipitisha Rasimu ambayo ina mambo ambayo ccm hawakupenda yaguswe ila yamepita kwa 64%.
Hapo ktk 64% ndipo wanaccm waliposhituka kuwa kwa takwimu hzo si nzuri kwao kwani ni kiashiria kwa wao kutokubalika kwa wananchi kama ilivyo kwa Wapinzani hasa cdm waliozunguka na mapendekezo yao wananchi wameyakubali kwa 64%.
Swali rahisi ni kuwa ccm kwa walivyojinasibu kuwa wanawanachama wengi kumbe sivyo ilivyo waliambulia 36% tu.
Watanzania sio wale wa zidumu fikira za fulani.
CCM nendeni na wakati na wala msipinge yale ya Wapinzani maana ni aibu mwisho wa siku.

safi sana,unafiki sio mzuri,hii ikipita,kesho utamuona au kumsikia nape akisema serikali tatu ni agenda yao.


....kwa unafiki mkubwa watakuja na gia ya serikali sikivu,,,nyambafu, sikivu baada ya kuangukia pua...? nape yupo wapi, rasimu ya kwanza alikuja fasta na pumba zake, leo kimyaaaaaa......!!
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

Msipaniki hyo ni % ya waliotoa yao sasa unaniletea idadi mpaka ya watoto kwa nn unajitoa ufahamu leo?
Mliambiwa mkatoe maoni hamkwenda.
Hivi ukiambiwa Kikwete alipita kwa 61% unaelewa nn
 
Iwe Serikali 3 au Serikali 2 CCM itaendelea kukamata dola.
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

Mimi ninapendelea serikali moja tu, si mbili wala tatu.
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

Aisee, kwani wagombea urais kwenye uchaguzi mkuu 2010 wapiga kura walikua wangapi kweli? Na Tanzania ilikua na watu wangapi kweli? Na je hiyo inaondoa uhalali wa Kikwete kua rais wa Tanzania?
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

U.T.I inatibika dogo wahi matibabu.
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

...nani kakwambia ni 64% ya watanzania wote..? tume imesema ni 64% ya watu waliotoa maoni. ooooh my Tanganyika is back from prison after 49 good years...!!!???
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

Wewe 45M umeipata wapi wakati tunajua waislamu wote hawakuhesabiwa? Hiyo sensa tunajua ilichakachuliwa.
 
Ndio maana nilimaliza kwa kusema watanzania sio wale wa zama za ndio mzee.
Na sijasema wanachama wa Upinzani nimesema CCM waangalie nini Wananchi wanataka ili isiwe aibu kwao.

Okey forgive me if i took your argument out of context,I thought you were one of those Party hacks i used to know who often view things through ideological blinkers.Your argument sounds pragmatist one.Kudos to you for that!
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

Punguza jazba mkuu km siasa zimekushinda ni vyema ukamsaidia mkeo kukuna nazi, otherwise utaonekana mzigo sio tu kwa taifa bali hata katika familia yako
 
Ni vizuri ikakumbukwa kuwa watanzania waliowanachama wa vyama vya siasa hawazidiasilimia 20.
Hii inajumuisha wanachama wa vyama vyote vya siasa nchini.
Hivyo hiyo 64% haimaanishi kuwa wanasuport chama flani.
Noo.
 
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.

Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.

We kilaza tu,uliishawahi kusikia kitu kinaitwa sample size.??? Kama ndiyo,je huwa sample size ina cover population yote?
 
Ila sasa,nachokiona ni kwamba suala la katiba lilikua ni ni la mwenyekiti wa ccm peke yake,na yeye ndo anayeenda nalo
 
Si kweli kwamba Watanzania 60% waliotaka serikali tatu wanaunga mkono Upinzani kumbuka pia kuna WanaCCM ndani ya hili kundi waliunga mkono pendekezo la kuwepo kwa serikali tatu na pia sio kweli kuwa katika lile kundi la Watanzania (30%) lililounga mkono serikali mbili wote ni WanaCCM ukweli ni kwamba kulikuwepo Watanzania wanaounga mkono Upinzani lakini walitaka serikali mbili.Get your facts right please!

Tatizo ni Kauli ya Viongozi wenu majukwaani ,waziwazi wamesema hawautaki Muungano wa Serikali 3.. Sasa ikiwa Kiongozi wa CCM kasema,tutakuamini vp wewe!? Viongozi wa CDM walitamka waziwazi kua wanahitaji Muungano wa Serikali 3,hivyo hata kama kuna mwana CDM aliupinga,haileti maana kwani watu tunaamini kua Kauli ya Kiongozi ndio Kauli na msimamo wa Chama!
 
Back
Top Bottom