Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Huo utafiti wa wanywa gongo Asilimia 64 ya Watanzania wote unaijua?
64/100x45,000,000=28,8000,000.
Wakati tume yenyewe imehoji watu Milioni 1.5 tu.
Utafiti wa wanywa gongo hauna Mashiko.
Tunataka serikali mbili.
Mkuu,dalili za kuchanganyikiwa hizo. Unaona ulichoandika ni sahihi? Atakuja wassira na kusema serikali tatu ndiyo ulikuwa msimamo wa ccm,maana kama una kumbukumbu japo sina imani na kichwa chako kama kipo sawa,wassira bila hata tone la aibu aliwahi diriki kusema wazo la katiba mpya ni ccm ilitoa. Yaani sielewi kama nyie magamba mnatumia akilia alizowazawadia MWENYEZI MUNGU,labda mnatumia za ibilisi.