Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Zamani nilitamani sana kuwa mwanajeshi sema Mungu hakupenda hilo litokee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Jina lako linastahili.Zamani nilitamani sana kuwa mwanajeshi sema Mungu hakupenda hilo litokee.
Nilijiita INFANTRY SOLDIER baada ya kupambana na changamoto kadhaa nzito nzito za maisha ya uswahilini.Mbona Jina lako linastahili.
Licha ya kusema jina hilo ulipewa na Rafiki
Kuitwa na kua soldierNilijiita INFANTRY SOLDIER baada ya kupambana na changamoto kadhaa nzito nzito za maisha ya uswahilini.
Kweli mkuu jeshini utii Ndo swala la kwanzaJeshini sikutaka kwenda japo nilipata nafasi kwasababu ya kusema ndiyo kila kitu hata kama unaonewa.....ndiyo afande, ndiyo afande.........hawa madogo nadhani hawakujua kuwa Utii Jeshini ndiyo jambo la kwanza
🙏🙏🙏 Huenda alibahatika kupata nafasi sehemu.nakumbuka kipindi namaliza kidato cha nne nilikosa post za kwenda advance kwasababu combination nilizoandika kwenye ile karatasi sikubalance
.nikakaa home nikiwa nasubiria hatma yangu kama ni kwenda chuo ama advance private, ila home kukawa hakuna helaa hivo nikawa mpole tuu..
.sasa katika harakati za hapa na pale nikahamia mkoa mwingine kwa ndugu yangu nilikuwa napiga graphics design hatar..nikakutana na mbunge wa eneo hilo akanipa kazi nimtengenezee majarida yakionrmesha miradi aliyokamilisha
Nilifanya kazi kwa ufanisi mkubw akatokea kuwa rafiki yangu sana...siku nikamwambia hali yangu ya maisha yalivyo akaniambia dogo ondoa shaka nitakuingiza jeshini...tukaendelea na mishe mishe mwezi wa 6 nakumbuka akanipigia simu nimtumie matokeo yangu nikamtumia akasema unachet cha kuzaliwa nkamwambia ninacho akasema jiandae utapigiwa simu muda wowote kuripot kambi fulani...
.ila muda huo kazi za jeshini zilinitoka moyoni nilikuwa nazichukia sana...nilikuwa nataka maisha ya uhuru nifanye mitikasi yangu ya biashara..huwezi amini nilireject iyo ishu...
.kuna jamaa nilikuwa nakaa nae huo mkoa nilioenda nayeye pia alifanyiwa huo mpango ilibidi tuwe wawili..baada ya mwaka mmoja nilisikia amehamishiwa kambi ya ruvu akitokea kambi nyingine sijui alikuwa kishaajiriwa...
uongo upingwa kwa ukweli..leta ukweli.Uongo mtupu! Rubbish
Kwa hiyo JKT ina train watu wasio Watanzania na kuwaahidi ajira? Asee hebu acha kulidhalilisha Jeshi ukifikiri kwamba unaliteteaKifupi hao sio watanzania ni raia wa nje waliojipenyeza JKT
Watanzania huogopa jeshi sana wasingefanya huo ujeuri asante CDF message sent.Waelewe Tanzania ni ya watanzania.Wote wakamatwe na wahojojiwe uraia wao barabara
Muhongo ni mpuuzi na fisadiUpo sahihi, ila kuna profesa haoni hili
Waliahidiwa ajira baada ya kujenga ikulu.JKT siyo sehemu ya kutoa ajira, tunarudia kila mara hamuelewi dah
Lakini pia tuelewe kuwa, ikiundwa tume na ikapewa hadidu za rejea makini za kufuata kufukunyua uozo huu, hata mkuu wa majeshi mwenyewe anahusika moja kwa moja kwenye kadhia hiyo.Mimi nimeshangaa sana vijana hao kujipanga kufanya maandamano bila intelijensia ya jeshi kuwabaini mapema na kuwadhibiti.Hivi jeshi letu siku hizo likoje?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] you got it rightHahaha mafisadi wote wanaosumbua hii nchi waliwahi kujiunga na JKT ila hawajawahi kuwa wazalendo