Ukiangalia "body language" hasa ya Job Ndugai, ni dhahiri hiyo picha imelazimishwa, Kwa hiyo hata hayo mazungumzo yalikuwa ya kulazimisha.
 
Tutamsikia Rais Samia, akitueleza kuwa hata yeye Ndugai, atampa Kazi maalum!

Nimeamini kuwa CCM kweli ina wenyewe, ambao ndiyo wanaostahili kupewa vyeo ndani ya nchi hii, hata wakiharibu namna gani, hao hawataguswa!
 
Picha yenyewe inajitosheleza jamaa kanunaa.
 
Kama habari za Tundu Lisu ni za kweli basi Ndugai alienda kuenjoi Ikulu. Tundu Lisu anatuhabarisha kwamba Ndugai anadai kwa mujibu wa sheria gari jipya, mafuta lita 70 kwa wiki mpaka anakufa, dereva anayelipwa na serikali mpaka kufa, kiinua mgongo, gharama za kufungasha virago, gharama za service ya gari mpaka anakufa n.k
 
Naona hujui pictorial interpretation.

Binafsi ukiangalia hii picha kama mama ana hofu na soni kumtazama Job..Huku Job akiwa na ham sana ya kumshika mkono mama ila mama naye hana "Time" naye kabisa .


Ni kama kuna juhudi za kuwaunganisha pamoja ila wote wanaonekana wamelazimuahwa.

Hakuna inner willing ya wahusika kumaliza tofauti zao.

Nawaza tu kuliingana na picha!!


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
NDUGAI kakoseewa sna na adabu uwezi nichamba vile alfu utake tupige picha public kbsa aisee hata mm ningenuna tu cwez kenua meno kwa. Mtu alikwisha niudhi na kunidhalilisha
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli jamaa atakuw hana vidole, hiyo simamia yake hiyo,
Sio
 
NDUGAI kakoseewa sna na adabu uwezi nichamba vile alfu utake tupige picha public kbsa aisee hata mm ningenuna tu cwez kenua meno kwa. Mtu alikwisha niudhi na kunidhalilisha
Magamba wana laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…