Job Ndugai: Kwenye negotiations lazima upeleke 'brains' zako, first class thinkers. Form four (Makarai matupu) ataenda kunegotiate nini?

We ajuza ni mjinga sn narudia, nchi siyo mali binafsi ya Samia, kwanini asigombee kwao Zanzibar? mtanzania yoyote mwenye sifa ana haki ya kugombea. Shame on you
 
Hiyo mipaka ikoje?

Hilo bibi jinga tu.
Tena nilijinga haswa limejawa udini tupu, kwani nchi ni mali binafsi ya Samia kwamba wengine hawatakiwi kugombea? kwanini asiende kugombea kwao Zanzibar? bibi mjinga sn anamtetea Samia sababu ni mzanzibar mwenzake
 
Sasa wewe unajibizana na mjinga? Unakuwa ni nani? Mjanja, au siyo?

Nani aliyesema Ndugai atagombea urais?

Unaota? Au hukielewi unachokisoma?
 
Kwani ccm wanasemaje,kuna mtu alihoji PhD ya kada akapotea hadi leo,hizi mambo zinaanzia juu hadi chini.
 

Kwamba huko jikoni mnagombania fito?

-Kaveli-
 
Yeye mwenyewe alipata ngapi? Tuanzie kwanza hapo...
Maana alianzia diploma kabla ya degree?
...ndugai ni hovyo kabisa!!
 
Nonsense
 
Kwahiyo kama ndo hivyo ujue waliousaini huo mkataba, nikimaanisha Rais na waziri wake ni form four failures na degree zao au usomi wao ni wa kuungaunga pasipo shaka! Huwezi ukawa na akili timamu ukasaini mkataba kama huu wa DP WORLD
 
Hapa shida ni ccm😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…