Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Bwana weee....

Yani inakera mpaka kinyaa!

Nyerere alikuwa Mkristo lakini alikataa kuwa chawa wa Israeli, akafunga ubalozi wao akawafukuza Wayahudi Tanzania
Kabisa, tatizo wengi ni Wajinga na hawataki kujifunza.
 
Mbona Samia yuko hijja na hujatokwa na povu?
 
Mungu nayemjua mimi anasem Atendaye dhambi ni wa shetani
Huyo ni Yohana aliandika na sio Mungu.
Neno la Mungu/Yesu anasema...njooni wote wenye kulemewa na mizigo ya dhambi nami nitawapumzisha
 
Mungu sio athumani.dhuluma alizofanya hata achutame uchi miaka mia
 
Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Kwa iyo ndio wamemridhia na Samia?? Hacha uongo wako
 
Amina Mku
 
Hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…