Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

.
Screenshot_20220618-150004_Gallery.jpg
Screenshot_20220618-145948_Gallery.jpg
Screenshot_20220618-145935_Gallery.jpg
 
Kuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Rubbish
 
Back
Top Bottom