atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Huku ndio kule alikutanaga na Yesu na mke wake?[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GT na wewe changamkia iyo fursa ukapate mibaraka.Aisee.
Kwenye huo ukuta?GT na wewe changamkia iyo fursa ukapate mibaraka.
RubbishKuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
Where was hii alipokuwa kwenye mamlaka kipindi hiko?Anamlilia Mungu ili nchi yetu isipigwe mnada.
Ndugai, soon ataibuka mshindi ktk hii battle.
Few days later atakuwa PresdaaRais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Hao madogo nyuma yao wamevaa pama ni wahudumu wa hapo western wall au?View attachment 2264752Wayahudi si wabaguzi ni watu pouwa sana.
Hao madogo Siyo wahudumu. Ila wana mihemko na mzuka flani hivi ya kiyahudi yakukaribisha na kutobagua yeyote yule anayetembelea maeneo matakatifu kusaka baraka kujisikia wako nyumbani.Hao madogo nyuma yao wamevaa pama ni wahudumu wa hapo western wall au?
Yupo hijja sio.Speaker mstaafu job ndugai ndani ya western wall of Jerusalem
lini ataenda bungeni?Amewaachia walamba asali mizinga ya nyuki
Wakatoliki wanapenda sana watu wasiomjua KristoUraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Waombee pia wagombea wote wawili maana wote Kwa pamoja Giza linawafuata.Uraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio
Speaker mstaafu job ndugai ndani ya western wall of Jerusalem
Mungu amrehemu na sasa aanze upya na Bwana Yesu Kristo.
Yani umeongea kitu ambacho ni obvious. Ni ujingaUraisi unaombwa vatican wao ndio uridhia nani awe.
Rais wa Kenya ni laila Odinga Makamu wa raisi ni Martha Karua ishapita vatican hio