Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Yani umeongea kitu ambacho ni obvious. Ni ujinga

North Korea, Iran, Venezuela, China, etc wanaomba Urais Vatican
Usipoelewa maana huwezi elewa.
Dunia inaendeshwa na sio kujiendesha.
Jiulize why viongozi wote wa dunia ni lzm wamuinie pope
 
Waombee pia wagombea wote wawili maana wote Kwa pamoja Giza linawafuata.

Mungu awabariki ndugu zetu wamalize uchaguzi salama.

Ruto hawezi kushinda uraisi.
Raila alimshinda UHURU sema kuna mambo hakukubaliana na wakuu wa Dunia wenye kumiliki mifumo yote ya utawala duniani.Jiulize kwann UHURU walitaka kumpeleka the Hague.Raila baada ya kukubali masharti anakua Rais wa Kenya,jiulize why UHURU anamsapoti Odinga.
 
jama jamaa ohoooo🙄🙄alivyoenda mara ya kwanza sio ndio alisema kuwa Yesu alioa😭nahofia akirudi kipindi hiki atakuja na stori gani tena jamani..doooh
 
Hii form six kama ile kule kwenye mawe
 

Attachments

  • IMG-20220618-WA0019.jpg
    IMG-20220618-WA0019.jpg
    122.4 KB · Views: 7
Hatuhukumu. Ila huyu jamaa anaroho mbaya sana. Amewahi kumdhurumu TL mafiao yake na kumnyima PESA ya matibabu
Huku akishirikiana na wenzake kuzuia hata asiombewe, yeye kaenda kuombewa kwa wayahudi.

Hicho alichodata kwa waebrania ndicho hicho alichohitaji Mh Tundu Lissu nyakatu ngumu sana za hatari ya uhai wake.
 
Huyu mzee amejaa madhambi tuu ya uonevu hana lolote anamaliza kodi tuu
 
Hapo ndio kaperinaumu..

Nani kamruhusu kuvaa hiyo kofia ya Rabbi?
 
EeeeenHeeeee!

Niliposoma kichwa cha habari ya mada yako nikadhani ni utani!

Lakini sasa nimeiona picha. Hii haiwezi kuwa ya 'photoshop'!

Nchi hii tuna waigizaji kwelikweli.

Huyu bwana kavuna bila jasho miaka yake yote ya ubunge na uspika, huku uwezo wa kufanya lolote la maana akiwa hana.
Sasa anafaidi matunda aliyopewa na CCM.
Acha wivu wa kike
 
Back
Top Bottom