Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Job Ndugai ndani ya Western Wall of Jerusalemu

Yaani wabunge wengine wako kazini kikaocha bajeti yeye anazurula huko Kaperenaum?
Yaani pesa za walipa kodi anatumbua tuu? Au kwa vile kasikia dada yake naye alikuwa Oman kwa wajomba zake?
Ngoja tusikie naye Diblo dibala anaweza kwenda Cabo Delgado kwa shangazi zake walio kimbia wakati ule kuogopa kipigo cha jiwe
 
Speaker mstaafu job ndugai ndani ya western wall of Jerusalem

View attachment 2264710
Hivi huyu jamaa haoni noma kwa kujifunza nchi za wengine jinsi zilivyo na demokrasia wakati yeye na kayafa yule walikanfamiza demokrasia ndani ya na nje ya bunge. Huyu jamaa Hana akili kabisa anapoenda jerusalemu haini hata noma kwamba yeye ni mweupe kichwani
 
safi sana Spika wetu mstaafu.
Mungu ndio kila kitu hapa duniani.
Mungu ni mwema sikuzote.

Kila kiongozi aliye pewa dhamana ajue kuwa Mungu ndiye muweza wa kila jambo, hivyo tuheshimiane, tusioneane.
Maisha ya binaadamu ni ya kupita tu.
 
tuchangishane tuwapeleke Chadema huko
Kuna anko wangu mmoja don tena sasa ashastaafu alinyanyaswa sana na boss wake kwenye shirika moja kubwa tuu. Aseee anko alifunga safari hadi kwenye huo ukuta aliandika kikaratasi cha maombi ambacho baadae hujusanywa na marabi ili viombewe na maombi ya walioviandika yatimie. Asee alivyoandika juu ya boss wake akarudi maombi anasema yalitimia mule mule bila kupinda.
Jobo nae anaweza kuwa kaandika kitu jamani
 
Yaani wabunge wengine wako kazini kikaocha bajeti yeye anazurula huko Kaperenaum?
Yaani pesa za walipa kodi anatumbua tuu? Au kwa vile kasikia dada yake naye alikuwa Oman kwa wajomba zake?
Ngoja tusikie naye Diblo dibala anaweza kwenda Cabo Delgado kwa shangazi zake walio kimbia wakati ule kuogopa kipigo cha jiwe
Mkuu Diblo Dibala ndio yule mwenye nywele za kupaka kiwi?
 
EeeeenHeeeee!

Niliposoma kichwa cha habari ya mada yako nikadhani ni utani!

Lakini sasa nimeiona picha. Hii haiwezi kuwa ya 'photoshop'!

Nchi hii tuna waigizaji kwelikweli.

Huyu bwana kavuna bila jasho miaka yake yote ya ubunge na uspika, huku uwezo wa kufanya lolote la maana akiwa hana.
Sasa anafaidi matunda aliyopewa na CCM.
 
Back
Top Bottom