Job Ndugai: Sijawahi kumjulia hali Tundu Lissu kwani ananiona kama shetani | Mbowe asikimbilie Urais kuficha aibu ya kushindwa Ubunge

Sasa mtu mwenye marukanga toka lini akawa timamu,ndio spika kilaza kuwahi kutokea nchini.
Anashindia mbolea ndio aendelee kuishi
 
Aibu hii.
 
Kushindwa ubunge ni kuaibika? Si atabaki kuwa Mwenyekiti wa chama chake? Na hata yanayofanyika yanampa kisingizio kizuri cha kushindwa kwake. Mkurugenzi gani atakuwa na ubavu wa kumtangaza kuwa mshindi baada ya kupaniwa hivi?

Amandla...
NGAWETHU
 
Gongo ,banging,unga na mirungi ni haramu
Tatizo ni hiyo pombe nayo pia wangeamua iwe haramu ingekuwa poa sana tungepata wawakilishi safi sana#uleviwowoteharamu
 
Kafirisika kisiasa
 
Nasikia na kwao jimboni hawamtaki sasa asubiri kugombea kwenye jimbo la magogoni
Akimbana sana Jamaa ataishia tu kusema nilitoka familia Maskini saana,nilitembea Km 8 kwenda Shule na nilishinda njaa sana mimi.
 
Anajifedhehesha bure
Yani anafanya kumuattack tu mbowe kila swali analoulizwa, mara hakupigwa alianguka ni story nilizosikia yani anaongea naye hana uhakika. Mara alilewa chakali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…