HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
itategemea sana matokeo ya Biden ndani ya miaka 4. Japo alipokua UN alisumbuaNikki Haley is solid.
Rock solid.
But I’m still riding with Ron DeSantis.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itategemea sana matokeo ya Biden ndani ya miaka 4. Japo alipokua UN alisumbuaNikki Haley is solid.
Rock solid.
But I’m still riding with Ron DeSantis.
Subiri uone Democratic wanavyoenda kuinyoosha CCM&serikali yake,mtamkumbuka sana Trump maana hakua na time na Africa zaidi ya kuwaachia wakina Pompeo wa-tweet tu.Afu wanalazimisha waafrica katika uongozi tuwe na 50...50 kwenye uongozi, wao wenyewe na demokrasia yao ndio mara ya kwanza mwanamke anakuwa kwenye ngazi ya juu kabisa. Nafikiri africa tutafute mfumo wetu sio kila kitu kulazimishwa
Ushindi wake unakuja baada ya kushinda kwa kishindo jimbo la Pennsylvania
Anakuwa Rais wa kwanza kuingia Madarakani akiwa na umri mkubwa (miaka 78). Pia, Marekani imepata Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke, Kamala Harris
View attachment 1621542
View attachment 1621578Uchaguzi wa Marekani 2020: Mfahamu Joe Biden anayeweza kumuondoa Trump madarakani
Hellow JF Joe Biden Joe Biden ndiye mtu pekee anayeweza kumuondoa Donald Trump ambaye anawania miaka minne zaidi katika Ikulu ya White House. Makamu wa rais wa Barack Obama amechaguliwa rasmi kama mgombea wa Chama cha Democratic kwa uchaguzi wa urais wa Novemba. Kwa wafuasi wake yeye ni...www.jamiiforums.com
BIDEN: NITAWATUMIKIA WALIONIPIGIA NA WASIONIPIGIA KURA
Mshindi wa Uchaguzi Mkuu wa Marekani katika Nafasi ya Urais, Joe Biden amewashukuru wamarekani kwa kumpa dhamana ya kuongoza taifa hilo
Katika tweet yake amesema atawatumikia wote bila kujali kama walimpigia kura au ambao hawakumpigia kura
Ameahidi kutowaangusha kwa imani ya uongozi ambayo Wananchi wamempa kwa kipindi hiki
View attachment 1621579
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden
View attachment 1621544
Kamala Harris Mwana Mama wa kwanza katika Historia ya Marekani kuwa Makamu wa Rais.
Wewe ulikuwa upande wake ..acha kumkana sasa.Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.
Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.
Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Hana lolote la kufanya, zipo nchi km uganda, rwanda ambazo hata kubadilisha viongozi tu hawajabadili lakini kila wakati inabaki mikwara tu. Sio rahisi km unavyofikiriSubiri uone Democratic wanavyoenda kuinyoosha CCM&serikali yake,mtamkumbuka sana Trump maana hakua na time na Africa zaidi ya kuwaachia wakina Pompeo wa-tweet tu.
Mkuu Ritz upo? Hongereni sana kwa ushindi wa kishindo!!Watoto wa Trump wanawalaumu Republican wamemsaliti baba yao.
Hivi hamjisikii aibu?Mama ametulia sana aisee!
Bora hata Trump kapata mil 70 kuna mmoja kapata mil 12 Nazo kaletewa kwenye mabegi.BREAKING NEWS!!! TRUMP ATANGAZA MAANDAMANO NCHI NZIMA😁😬😁
Hizo nchi zimepitia mititi ya vita ya kutosha na zinajulikana ni 'volatile' wanazipotezea kwa misingi hio.Hana lolote la kufanya, zipo nchi km uganda, rwanda ambazo hata kubadilisha viongozi tu hawajabadili lakini kila wakati inabaki mikwara tu. Sio rahisi km unavyofikiri
Msiponichagua mimi na wabunge wa democratic hakika sitaleta umeme na barabara hapa,uzuri mimi ni msema kweli-BidenHapo kwenye makamu wa rais mwanamke wametuiga Tz
Hahah na umesema ukweli mzee baba.Wewe ulikuwa upande wake ..acha kumkana sasa.
Mimi niliyeandika huu uzi miezi kadhaa kabla ya uchaguzi ndo nilikuwa upande wake?Wewe ulikuwa upande wake ..acha kumkana sasa.
Kama aliletewa na yangu basi hzo zilikuwa halali maana nilimpigia kura simu ile 😁😁Bora hata Trump kapata mil 70 kuna mmoja kapata mil 12 Nazo kaletewa kwenye mabegi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti KABANDULIWA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1621525View attachment 1621526View attachment 1621527View attachment 1621528
Mimi niliyeandika hivi mwezi June ndo nilikuwa upande wake??Hahah na umesema ukweli mzee baba.
Mnafiki wewe...Si ulisena Kibabu Biden kinapoteza muda??? Au sio weweTurnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.
Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.
Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
😀😀Hapo kwenye makamu wa rais mwanamke wametuiga Tz