Joe Biden achaguliwa kuwa rais wa 46 wa Marekani

Afu wanalazimisha waafrica katika uongozi tuwe na 50...50 kwenye uongozi, wao wenyewe na demokrasia yao ndio mara ya kwanza mwanamke anakuwa kwenye ngazi ya juu kabisa. Nafikiri africa tutafute mfumo wetu sio kila kitu kulazimishwa
Subiri uone Democratic wanavyoenda kuinyoosha CCM&serikali yake,mtamkumbuka sana Trump maana hakua na time na Africa zaidi ya kuwaachia wakina Pompeo wa-tweet tu.
 
Mama ametulia sana aisee!
 
Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.

Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.

Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Wewe ulikuwa upande wake ..acha kumkana sasa.
 
Trump sa hii anakusanya mabegi na masufuria aondoke zake jumba jeupe.

Ila nitamiss sana mipasho yake huyu babu ana maneno. Yani alishaleta chokochoko hadi kwa wazungu wenzie wa ulaya huko[emoji3]
 
Subiri uone Democratic wanavyoenda kuinyoosha CCM&serikali yake,mtamkumbuka sana Trump maana hakua na time na Africa zaidi ya kuwaachia wakina Pompeo wa-tweet tu.
Hana lolote la kufanya, zipo nchi km uganda, rwanda ambazo hata kubadilisha viongozi tu hawajabadili lakini kila wakati inabaki mikwara tu. Sio rahisi km unavyofikiri
 
Hapo kwenye makamu wa rais mwanamke wametuiga Tz
 
Hana lolote la kufanya, zipo nchi km uganda, rwanda ambazo hata kubadilisha viongozi tu hawajabadili lakini kila wakati inabaki mikwara tu. Sio rahisi km unavyofikiri
Hizo nchi zimepitia mititi ya vita ya kutosha na zinajulikana ni 'volatile' wanazipotezea kwa misingi hio.

Bongo yenyewe ilipitia vita vya wenyewe kwa wenyewe lini na ni 'volatile'?
 
Wewe ulikuwa upande wake ..acha kumkana sasa.
Mimi niliyeandika huu uzi miezi kadhaa kabla ya uchaguzi ndo nilikuwa upande wake?

Ninaweza kuandika uzi kama huu kama niko upande wake?

Seriously???

 
Hahah na umesema ukweli mzee baba.
Mimi niliyeandika hivi mwezi June ndo nilikuwa upande wake??

 
Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.

Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.

Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Mnafiki wewe...Si ulisena Kibabu Biden kinapoteza muda??? Au sio wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…