Nilitegemea nawe kumpenda, kama maudhui ya majadilano haya yalipo tukutanishia. Lakini naona taratibu unajiweka pembeni, umebaki tu kuwa mtu wa kupenyeza viswali hapa na pale, huku mjadala ukibadilika!Unafikiri kwanini nchi ilimpenda?
Hivi sera, kauli zake hazikusaidia wananchi wengi kama Babu yako kijijini.
AiseeMpango anavyoongea hata wewe utasinzia tu...
Utazan anaelezea nini maana ya ekerist takatifuMpango nae anaongea kwa kubembeleza. Kama padri vile
NLOooooh!
Sasa mimi 'Kalamu', nami nimekuwa na "genge"?
Magufuli alikuwa 'strongman' asiye kuwa na busara ndani yake. Na ni kweli kuhusu hayo ya ukabila na kuendekeza makundi, tabia mbaya kabisa aliyo kuwa nayo.
Hapana. Sizungumzii "strongman" aina ya Magufuli, ingawaje yapo mambo ambayo 'instinctively' alikuwa akiyafanya kuonekana kuwa ya maslahi ya nchi; wakati huo huo aki-'sabotage' hata uzuri huo; kwa mfano kujenga uwanja wandege kwao na kupeleka raslimali nyingi huko isivyo kuwa na taratibu.
Lakini pamoja na haya yote, inashangaza sana kwamba alikoga roho nyingi za waTanzania. Na sababu yake ni hizo kelele alizo kuwa akifanya kuhusu "wanyonge".
Anahitajika kiongozi mwenye uelewa mzuri wa haya ya 'wanyonge' lakini pia asiwe mtu wa kuburuza tu watu katika maamuzi yake.
Sasa mkuu 'lookmasin'; kama kweli unataka kuniweka kwenye 'genge', basi nitafutie genge lisilo yumbishwa na chochote kuhusu maslahi ya Tanzania. Hilo genge nitalifurahia sana.. Vinginevyo, unanivunjia tu heshima.
Mjadala ni upi? Nini? Wewe mweyewe unetembea mbali.Nilitegemea nawe kumpenda, kama maudhui ya majadilano haya yalipo tukutanishia. Lakini naona taratibu unajiweka pembeni, umebaki tu kuwa mtu wa kupenyeza viswali hapa na pale, huku mjadala ukibadilika!
Basi tuishie hapa.N
Mjadala ni upi? Nini? Wewe mweyewe unetembea mbali.
Si baada ya kuapishwa Trump atakuja Zenj!
Sawa. You are intelligent individual. Ila vitu flani vinakufunika.Basi tuishie hapa.
Mjinga huyo kazoea kujichukia katika maoni anayotoa humu jukwaani.Hahahaaa hapana bana. Biden kachoka.
Analazimisha tu hiyo kazi ya urais.
Tofauti ya masaa kati ya Marekani na Angola ni kubwa vya kutosha.
Angalia hii picha kwa makini sana. Hivi mtu aliyealikwa kwenye shughuli kihitifaki anatakiwa awe line ipi kwenye swala la picha ya pamoja.Kababu kamechoka juzi kwenye mkutano wa G20 kule Brazil wakati wanataka kupiga picha ya pamoja kakawa kamechelewa kanabadilisha diaper
Viongozi wengine wakaona isiwe taabu wakapiga zao picha ya pamoja bila kababu kuwepo
View attachment 3169063
Height pia inazingatiwaAngalia hii picha kwa makini sana. Hivi mtu aliyealikwa kwenye shughuli kihitifaki anatakiwa awe line ipi kwenye swala la picha ya pamoja.
Sasa mzee wa miaka zaidi ya 80 hivi mnatarajia afanyeje kweli kama siyo kusinzia?Hahahaaa hapana bana. Biden kachoka.
Analazimisha tu hiyo kazi ya urais.
Tofauti ya masaa kati ya Marekani na Angola ni kubwa vya kutosha.
Wewe ni mkuu wa jfmh! na mimi ni nani yako wa kiroho!
🙄Wewe ni mkuu wa jf
Habari yako mkuu
si nzuriHabari yako mkuu
Unaumwa nini leo?si nzuri
Philip Mpango afanyiwe rehearsal ya kuzungumza kwa kukaza sauti. Hata mimi kwenye speach hiyo ningeboreka na kusinzia kumuota cheupedawa wangu wa Kitunda😂😂😂Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
penzi lako bado laniuma!Unaumwa nini leo?