Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua usafiri aliotumia,air force one ina kitanda,ina office,ina bafu,choo na kila kitu,mpaka corridors ndefu tu kama akijisikia kutembea unatembea,ni kama uko nyumbani tu,swala la kusema kachoka halipo,huyo umri na maradhi vinamchosha analazimisha tu...Hahahaaa hapana bana. Biden kachoka.
Analazimisha tu hiyo kazi ya urais.
Tofauti ya masaa kati ya Marekani na Angola ni kubwa vya kutosha.
Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Kumbuka pia kuna mambo kama jet lag na time difference.Unajua usafiri aliotumia,aif force one,ina kitanda,ina office,ina bafu,choo na kila kitu,mpaka corridors ndefu tu kama akijisikia kutembea unatembea,ni kama uko nyumbani tu,swala la kusema kachoka halipo,huyo umri na maradhi vinamchosha analazimisha tu...
Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3

Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Umeelewa kilichoandikwa hapo?
Hata ningekua Mimi ningesinzia tena ningelala kabisa.Haka kababu kumbe kanadharau ?
kwenye huu mkutano wakati tunatoa speech chef akaanza kukawa msosi watu wakawa wanapita na sahani za waliKababu kamechoka juzi kwenye mkutano wa G20 kule Brazil wakati wanataka kupiga picha ya pamoja kakawa kamechelewa kanabadilisha diaper
Viongozi wengine wakaona isiwe taabu wakapiga zao picha ya pamoja bila kababu kuwepo
View attachment 3169063
Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.
Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.
Hii ni aibu.
View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb
Video ndefu zaidi hii hapa….
View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3
Anasoma..mtu yeyote angeboreka..mko watu 5 unasoma nini? si eleza tu toka kichwani..! Namna hii ni kuwakwaza watu!Mpango nae anaongea kwa kubembeleza. Kama padri vile