Joe Biden asinzia wakati Makamu wa Rais Dkt. Mpango akizungumza

Joe Biden asinzia wakati Makamu wa Rais Dkt. Mpango akizungumza

mikutano hii wamtume makongoro nyerere hakuna atakaesinzia, hakawii kuwachekesha, if you come to tanzania you will see a lion
 
Umri wake ni mkubwa, kama ana 85 ni anaonewa tu kukalia hicho kiti.
 
Wakiwa Angola, Joe Biden anaonekana akisinzia wakati makamu wetu wa Rais akizungumza.

Babu Biden kachoka. Arudi kwao huko Delaware akapumzike na wajukuu wake.

Hii ni aibu.


View: https://youtu.be/3jqHuRkI6EE?si=Df4KXUIbUnRGzmxb

Video ndefu zaidi hii hapa….


View: https://youtu.be/Ikyt0nNX5lI?si=fj6waQjv-t4m6aC3

Na siku AKIJAMBA ,mtasema Biden Amejamba wakati , Philip Mpango anahitubia 😀😀😀🤔🤔

Thread 🧵 zingine bhana😀😀
 
Na siku AKIJAMBA ,mtasema Biden Amejamba wakati , Philip Mpango anahitubia 😀😀😀🤔🤔

Thread 🧵 zingine bhana😀😀
This a newsworthy incident.

Are you dumb?
 
Sasa unataka awe Obama? Mambo gani hayo!
No sitaki awe Obama. Awe yeye, lakini ajiamini, kauli thabiti, acknowledge all guest in high table, all individuals. Delivery speech bila kutetemeka Speech ya dakika tatu. Nyerere. Kambona, Mkapa hizo ni sehemu zao.
 
No sitaki awe Obama. Awe yeye, lakini ajiamini, kauli thabiti, acknowledge all guest in high table, all individuals. Delivery speech bila kutetemeka Speech ya dakika tatu.
Sasa haya yana mhusu nini Obama; maanake nimeona ukimtaja kwenye sentensi hiyo.
BTW: Alzheimer disease , siyo "uzee". Naona mtindo wako ni wa kupindisha pindisha sana!
 
Sasa haya yana mhusu nini Obama; maanake nimeona ukimtaja kwenye sentensi hiyo.
BTW: Alzheimer disease , siyo "uzee". Naona mtindo wako ni wa kupindisha pindisha sana!
Twende taratibu nitakuelewesha kila kitu taratibu.

Obama ni mfano wa mtu anayeongea vizuri kwenye hadhira yoyote ile.

Wataalamu wa USA wanasema Biden ana Alzheimer disease since 2020. Ana tatizo la kumbukumbu, kusahau, kuongea, kuanguka wakati mwingine.
 
Twende taratibu nitakuelewesha kila kitu taratibu.

Obama ni mfano wa mtu anayeongea vizuri kwenye hadhira yoyote.

Wataalamu wa USA wanasema Biden ana Alzheimer disease since 2020. Ana tatizo la kumbukumbu, kuongea kuanguka wakati mwingine.
Ninakuelewa mkuu 'Lookmasin', pengine wewe ndiye huni elewi.
Hiyo "Alzheimers disease", siyo "Uzee" kama ulivyo eleza hapo mwanzo. Ndiyo, inawezekana anayo hiyo Alzheimer's kama wataalam walisha bainisha hivyo, lakini pia 'Dementia', si na yenyewe inazo dalili hizo (hapa ni kama umejisemea tu bila ushahidi wa hao wataalam ulio wataja).

Kuhusu mfano wa Obama, hata mimi naamini ni mhutubiaji mzuri sana; afterall, ni ile speech yake aliyo itoa kwenye Mkutano wa chama chake kule Massachussett, ndiyo iliyo muinua toka wakati huo hadi kuwa mgombea na hatimae kuwa rais.
Lakini hili silo tunalo zungumzia hapa, kama ulivyo liweka kwenye hiyo hotuba ya Phillip Mpango. Hebu yatazame tena uliyo andika hapo, halafu ujiridhishe kuwa mfananisho wako ulikuwa ni sahihi kweli kati ya hawa wawili.
 
Sasa haya yana mhusu nini Obama; maanake nimeona ukimtaja kwenye sentensi hiyo.
BTW: Alzheimer disease , siyo "uzee". Naona mtindo wako ni wa kupindisha pindisha sana!
Halafu naona wewe ni mbishi by nature. Umeshaona kiongozi gani wa USA anasinzia, anaanguka akipanda ndege, anasahau vitu.
 
Halafu naona wewe ni mbishi by nature. Umeshaona kiongozi gani wa USA anasinzia, anaanguka akipanda ndege, anasahau vitu.
Sasa niambie hapo ubishi upo wapi?
Kwani nime kataa kwamba Biden hana matatizo hayo?
Usihamaki. Jaribu tu kunielewa.
 
Ninakuelewa mkuu 'Lookmasin', pengine wewe ndiye huni elewi.
Hiyo "Alzheimers disease", siyo "Uzee" kama ulivyo eleza hapo mwanzo. Ndiyo, inawezekana anayo hiyo Alzheimer's kama wataalam walisha bainisha hivyo, lakini pia 'Dementia', si na yenyewe inazo dalili hizo (hapa ni kama umejisemea tu bila ushahidi wa hao wataalam ulio wataja).

Kuhusu mfano wa Obama, hata mimi naamini ni mhutubiaji mzuri sana; afterall, ni ile speech yake aliyo itoa kwenye Mkutano wa chama chake kule Massachussett, ndiyo iliyo muinua toka wakati huo hadi kuwa mgombea na hatimae kuwa rais.
Lakini hili silo tunalo zungumzia hapa, kama ulivyo liweka kwenye hiyo hotuba ya Phillip Mpango. Hebu yatazame tena uliyo andika hapo, halafu ujiridhishe kuwa mfananisho wako ulikuwa ni sahihi kweli kati ya hawa wawili.
Kalamu na - mcriticize Dr Mpango kidogo, hotuba yake ilikuwa ya hovyo haikuzingatia diplomatic protocols pia haina mamlaka, kauli thabiti.
 
Kalamu na - mcriticize Dr Mpango kidogo, hotuba yake ilikuwa ya hovyo haikuzingatia diplomatic protocols pia haina mamlaka, kauli thabiti.
Sawa.

Mimi bado sijamsikiliza, sasa umenivuta nimsikilize.
Lakini hii 'criticism' yako naona inakosa 'objectivity', unapoweka mambo kama haya" "
Anacho cha vitabu. kukariri.
Quite unnecessary.
 
Back
Top Bottom