Si kila mzee lazima aupate huo ugonjwa. Unajua Kissinger kafariki akiwa na miaka mingapi!Alzheimer disease, uzee. Angepumzika tu. Trump anweza kuwa kama hivi miaka minne ijayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kila mzee lazima aupate huo ugonjwa. Unajua Kissinger kafariki akiwa na miaka mingapi!Alzheimer disease, uzee. Angepumzika tu. Trump anweza kuwa kama hivi miaka minne ijayo.
Nafikiri unazungumzia Alzheimer, dementia pia inawapata vijana. Ila ni very rare circumstances.Sasa niambie hapo ubishi upo wapi?
Kwani nime kataa kwamba Biden hana matatizo hayo?
Usihamaki. Jaribu tu kunielewa.
Sijasema kila mzee. Ila ni common sense ni wazee wengi watapata haya matatizo kuliko vijana.Si kila mzee lazima aupate huo ugonjwa. Unajua Kissinger kafariki akiwa na miaka mingapi!
Nakwenda kumsikiliza.Nafikiri unazungumzia Alzheimer, dementia pia inawapata vijana. Ila ni very rare circumstances.
Kiongozi wa nchi ni wazi aweze ku -deliver two, three minute speech with maximum confident.
That would be wonderful.Nakwenda kumsikiliza.
Utakuwa na matatizo kichwani, ulitegemea Mpango atoe hotuba yenye mamlaka (commanding) mbele ya kina Biden?Kalamu na - mcriticize Dr Mpango kidogo, hotuba yake ilikuwa ya hovyo haikuzingatia diplomatic protocols pia haina mamlaka, kauli thabiti.
hayo yaache mkuu 'Gagnija'. hata sijui atakuwa ana'command' kitu gani hasa!Utakuwa na matatizo kichwani, ulitegemea Mpango atoe hotuba yenye mamlaka (commanding) mbele ya kina Biden?
Naomba usikilize hotuba yake kwanza. kabla ya kuongea. Anaweweseka, hamtambui Biden. Hotuba ni low profile akilialia.Utakuwa na matatizo kichwani, ulitegemea Mpango atoe hotuba yenye mamlaka (commanding) mbele ya kina Biden?
I expect him to be competent.Utakuwa na matatizo kichwani, ulitegemea Mpango atoe hotuba yenye mamlaka (commanding) mbele ya kina Biden?
Huenda kuna 'speech' nyingine ambayo mkuu 'Lookmasin' kaisikiliza toka kwa Philip Mpango na kutoka na hayo aliyo sema juu ya "commanding speech".hayo yaache mkuu 'Gagnija'. hata sijui atakuwa ana'command' kitu gani hasa!
Hamtambui Biden kama Rais wa US, au hamtambui vipi! Tufahamishe tuanze kujjadili.Naomba usikilize hotuba yake kwanza. kabla ya kuongea. Anaweweseka, hamtambui Biden. Hotuba ni low profile akilialia.
Duh!I expect him to be competent.
Yes on speaking engagement. He is extremely poor. I think he is very, extremely competent on economics matters.Duh!
Just on the basis of that speech, you have judged and concluded on his lack of competence?
HE IS MORE THAN COMPETENT. The issue here, as raised by our learned brother Nyani , is why sleepy Joe is often caught sleeping at critical moments.I expect him to be competent.
Nikukumbushe tu mkuu Kalamu, 2020 Kimei alivyoamua kugombea ubunge Vunjo, tulisoma maandiko mengi humu kuwa Mpango ajiandae kukabidhi wizara ya Fedha kwa Kimei.Duh!
Just on the basis of that speech, you have judged and concluded on his lack of competence?
Uongo!Baada ya kusikia Tanzania ipo katika orodhs ya kupigwa Ban kwenda marekani, wakaamua wajipendekeze kwenye kikao cha Biden na Angola . Ndio maana kapuuzwa
Umemlinganisha parefu sana. Mi namaanisha na wa level yake kama akina ....... Ondoa Nyerere na MkapaAnacho cha vitabu. kukariri. Kiuchumi. Kuhutubia dunia bado sana. Hafiki hata nusu ya Obama,Nyerere, Mkapa.
He is extremely boring speaker.