Joe Biden asinzia wakati Makamu wa Rais Dkt. Mpango akizungumza

Joe Biden asinzia wakati Makamu wa Rais Dkt. Mpango akizungumza

Hahaha CCM wanaweza kumteka kwa kudharau Makamu wa Rais.
 
Dkt. Mpango aliyekuwa anaongea hapo yeye mambo ya Marekani yanamhusu nini?
Wanaenda kuomba pesa, wakipewa utasikia Ziara za mama zimeanza kutoa majibu.

Juzi wamepewa pesa, unasikia Majiko ya Gas yanatolewa kwa RUZUKU ya MAMA, nikawaambia watoa na GAS kwa RUZUKU wakanitukana eti sina shukrani.

Sasa Peza za kuweka Mazingira(Climate Change) mmepewa kwanini mtupimie nusu kijiko?
 
Siasa za west zina vita with many fronts. Moja ya vita ni services against politicians.

US civil services gambled with Biden, civil services za nchi technically ndio wanaendesha nchi lakini hawana mamlaka ya kikatiba.

Wakipata raisi mwenye agenda zake na mandate kazi yao inakuwa ngumu sana, kufanya wanayotaka. Wakimpata mtu kama Biden it Works on their favour kwenye agenda zao.

They got too comfortable with Biden na kudhani wanaweza shinda nae uchaguzi, ili waendelee fanya yao, Things have changed toka zama za Roosevelt (not many Americans knew he was disabled on a wheelchair at the time).

Shida ni kudhani zama hizi wangeweza toboa na Biden ambae psychologically hakuwa sawa for everyone to see na siasa za marekani; Europę Biden watu wasinge bahatisha. Achana na politics hata Catholic Church kwa nafasi ya Pointiff going by the movie the ‘conclave’ kuna watu wangemvaa kama Pope is incapable it’s amazing how democrats waliruhusu Biden kuwa mgombea wao.
 
Wachu mwenyewe alikua anamuelekeza Biden there is migebuka and mawese there Kigomaaa aweee Kigoma weeee lekatugitikitee also mv liemba u know you know

BIDEN, krooooooh kroooooooh kroooooh
 
Hizi dharau.
Juzi Maza anazungumza watu wanaanza kugawa misosi
Miaka michache iliyopita kuna kiongozi aliwafanya watanzania kukimbilia kwenye luninga kila ilipofika jioni kumsikiliza.. kuongea kunahitaji nguvu ya ushawishi..
 
ndo maana makonda aliwapigia mafataki usiku akina M7 na paka, hawakulala 🤣
 
Back
Top Bottom