TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Sasa gari lake linahusiano gani na kifo chake police wetu nao wanacomplicate mambo sana.
 
Tanzania sidhani kama inaweka msisitizo juu ya ufahamu kuhusu magonjwa ya akili ambayo yanaongozwa na ugonjwa wa msongo wa mawazo (aka depression).

Watu wengi sana wanasumbuka na hili tatizo kwa kujua ama kutokujua.
 
watu wengine mnawazaga ng'ombe tu. wasukuma bwana.
 
Yaani pole Joel kwa uliyopitia mpaka kujitoa uhai kwa njia ngumu kiasi hicho. Jina lake la mwisho ni Chizi. Yaani kuna majina ukikuta ulipewa udogoni na hayafai ni Bora kuyafuta rasmi kwa deep poll ili kuepuka mikosi kabisa. Majina na maneno huwa yanaumba Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…