TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Niki zoom Taasisi moja iloyo Jirani hapo na hili Tukio nalazimika Kuamini kuwa huyo Mtu hakijirusha bali alirushwa kwa sababu za Kumnyamazisha au alikuwa na Uadui na Mteuwaji Mkuu hivyo Watu wa Mfumo wameamua Kumuondoa kwa Mbinu hiyo.
Halafu mitaa hiyo wamejaa wale jamaa balaa. Wakina Derua wenyewe ni wana tai.
 
Pole Kwa mke wake
 
Hauwajui hata hao wazungu unaosema, wanaweza acha crime scene hata masaa 10 kwa ajili ya ku studu mazingira na ku collect evidence /samples
Hiku marehemu akiwa kaachwa anadhalilika hapohapo pembeni

Si ndio?
Wenzetu wanakuja na ambulance wajaribu kuwahisha hospital huku polisi anaachwa anedelee na uchunguzi
kama wanaweza kukuokoa,ila sie tayari polisi wanahitimisha umekufa
 
Hadi juzi alikuwepo DPC, alikuwepo ibadani jumapili.

Mzee wake hakuwa mchungaji bali mzee wa kanisa.
 
Hiku marehemu akiwa kaachwa anadhalilika hapohapo pembeni

Si ndio?
Wenzetu wanakuja na ambulance wajaribu kuwahisha hospital huku polisi anaachwa anedelee na uchunguzi
kama wanaweza kukuokoa,ila sie tayari polisi wanahitimisha umekufa

Check ID extra, Azam TV number 200, haswa haswa anafunikwa, ila atashinda hapo mda mrefu sana, labda useme utepe, ila mwili wa Marehemu kwa Wazungu utapata tabu sana kwa sababu ya uchunguzi.
 
Check ID extra, Azam TV number 200, haswa haswa anafunikwa, ila atashinda hapo mda mrefu sana, labda useme utepe, ila mwili wa Marehemu kwa Wazungu utapata tabu sana kwa sababu ya uchunguzi.
Ikiwa confirmed kafa mfano mwili umeokotwa umeharibika ndo wanaweza kufanya kumfunika.ila tukio la mda mfupi ulopita mfano hilo la kujirusha huwa wanamoiga picha kisha wanachora alivyolala kwa spray nyeupe wanaachia ambulance wamchukue wao wanaendelea na mengine.
Hata aliegongwa na gari wanachora anachukuliwa wao wanaendelea na kazi eneo la tukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…