Ikiwa confirmed kafa mfano mwili umeokotwa umeharibika ndo wanaweza kufanya kumfunika.ila tukio la mda mfupi ulopita mfano hilo la kujirusha huwa wanamoiga picha kisha wanachora alivyolala kwa spray nyeupe wanaachia ambulance wamchukue wao wanaendelea na mengine.
Hata aliegongwa na gari wanachora anachukuliwa wao wanaendelea na kazi eneo la tukio
Wewe vipi wewe? Mtu kajirusha kafa ungekuwa wewe eneo la tukio ungemgusa?Wazungu wakisema hatuna akili tusikatae tangu saa 11 mpaka saa 2 mnauangalia tu? Hamna vituo vya polisi? hospital?
Ndio nkaongelea why tangu saa 11 wahusika hawonyeshi juhudi na kuwahi kudeal na tukio?Wewe vipi wewe? Mtu kajirusha kafa ungekuwa wewe eneo la tukio ungemgusa?
Tukio kama hilo unawaachia wahusika. Wewe mpita njia sanasana unachoweza kufanya ni kutoa taarifa tu kwa wahusika.
Unaweza ukagusa ukaharibu ushahidi au kujitia matatani.
Wahusika namba moja ni mwenye eneo ambapo tukio limetokea. Huyo ndo anayetakiwa haswa kupiga simu Polisi kutoa taarifa.
Mhusika namba mbili ni Jeshi la Polisi.
Hao wawili ndo wanamaliza shoo yote.
Kama wewe sio mmoja kati ya hao wawili endelea na shughuli zako.
Ila naona wenzetu wako very responsive kwenye matukio.nyumba ikiungua dakika chache gari hilo linazima..nnachoona ni kama wamestaarabika kiasi sie tumeshindwa.All I am trying to say it takes time, na hawa Wazungu mnawaabudu kwa kila jambo kama SI unit, nimewafaham kwa personal level, ni watu wa hovyo tu kama kawaida.
Hili nalo mkaliangalie hasa namba tatuHapo kuna mawili au matatu
1. Kajirusha
2. Karushwa
3. Kashurutishwa kujirusha
Taarifa inasema alikua anaenda kusali msikitini ghorofan hko juuHadi juzi alikuwepo DPC, alikuwepo ibadani jumapili.
Mzee wake hakuwa mchungaji bali mzee wa kanisa.
Ila naona wenzetu wako very responsive kwenye matukio.nyumba ikiungua dakika chache gari hilo linazima..nnachoona ni kama wamestaarabika kiasi sie tumeshindwa.
Lilikuwa sio jambo la dharura ndo maana. Mtu keshakufa. Na hakukuwa na jambo la dharura lililokuwa linaendelea kutokana na kifo hicho.Ndio nkaongelea why tangu saa 11 wahusika hawonyeshi juhudi na kuwahi kudeal na tukio?
My point was namna walivyorespond.polisi masaa manne kituo kimefungwa?
Wakiibiwaga pia ama kuvamiwa kwenye enwo lao pia wanakuwa hivohivo?
Sijaongelea mtu kumnyanyua ama la..bali response ya wahusika imenikwaza.
Sijui umenielewa?
Wakina Joel huwa wanaenda msikitini kuswali asubuhi?mtu mwenyewe anaitwa joel. nini huelewi hapo.
Unataka kusemaje mkuu.kua bwana mc sio mc tu Kuna protokali za kazi yake tusioijua amezivunjaNiki zoom Taasisi moja iloyo Jirani hapo na hili Tukio nalazimika Kuamini kuwa huyo Mtu hakijirusha bali alirushwa kwa sababu za Kumnyamazisha au alikuwa na Uadui na Mteuwaji Mkuu hivyo Watu wa Mfumo wameamua Kumuondoa kwa Mbinu hiyo.
Huko daslamu vijana Mambo yakiwashinda washaurini warudi vijijini tu,Sio wajiueSasa kama ana mpaka Suzuki RAV4 huyo wa kijijini nae afanye nini? Tujifunze kuridhika kama ni kweli ugumu wa maisha ndio sababu yake..ila hao wengi huwa ni michakato yao ya utafutaji ndio huwafikisha hapo.
upo sahihi kwa 100% mkuu. namfahamu vizuri JoelJoel nilimfahamu kupitia rafiki yangu, tulikua tunaonana kanisani DPC kinondoni, familia ya kina Joel wote walikua wanasali hapo na baba yao alikua mchungaji kama sikosei anaitwa Pastor Chizii..
Joel alikua mtu fulani humble na mcheshi mnoo, walikua wanaishi mwananyamala, nakumbuka badae Joel akaoa, akaenda na kusoma degree ya social work chuo cha ustawi pale..
Sijui nini kimemkuta kwa kweli hadi kufikia hatua ya kujifanyia ukatili huo..
Hawa wanaofanya izo shughuli za life coaching na ue mc mjini wengi ni vipepeo.huyu mtu kuna vitu vingi nyuma ya kifo.chakeMa MC na ambao ni wanasaikolojia wengi hapa mjini ni watu wake wa karibu na wanaofahamiana sana na ukifuatilia ni mtu alikuwa anawapa watu ushauri wa maisha etc...sasa imekuwaje? Wanasaikolojia wote hao waliomzunguka hakuna hata mmoja aliona tatizo na kumsaidia....
Ghost office of ........Mwaka Jana kuna kijana aliwahi kujiua pembeni na hilo Jengo alikua mkaanga chips jpili inayofuata mchungaji kimaro akamtetea sana kua anamjua na alikua mtu poa ila sijui nini kilitokea baadae mchungaji kimaro akamgeuka Vibaya sana marehemu. Usikute wameamia apo. Nkipata thread iliyoongelea swala hilo ntaieka
Nadhani ni coded message!!! Hatuwezi kutafuniwa Kila kitu.Wakina Joel huwa wanaenda msikitini kuswali asubuhi?
Asante, sikuwahi kuwaza hili!Hawa wanaofanya izo shughuli za life coaching na ue mc mjini wengi ni vipepeo.huyu mtu kuna vitu vingi nyuma ya kifo.chake
Majaliwa ilikua ni kamchongo ka watu kupotezea ile habari.Majaliwa hajawahi kumuokoa mhanga huyo wa AJALI?