TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar




TCRA waangalie alokuwa akiongea nao mwishoni kwa muda mrefu na walikuwa wanaongea nini?
 
Mkuu mbona mi naona kwenye ile video jamaa alivyodondokea tu kwenye tank moja kwa moja wakakimbilia kumtoa sidhan km waliona hatoki. Ile video mwili unasisimka
 
Sahih mkuu...anaefanya dhihaka hayajamkuta.
Muhimu kusema Mungu Atunusuru
 
Hukuwa na majini wala mashetani, hizo zilikuwa ni nyege tu za balehe
 
Hayajakukuta
وَلَا تَقْتُلُوا النَّفْسَ الَّتِي حَرَّمَ اللَّهُ إِلَّا بِالْحَقِّ ۗ وَمَنْ قُتِلَ مَظْلُومًا فَقَدْ جَعَلْنَا لِوَلِيِّهِ سُلْطَانًا فَلَا يُسْرِفْ فِي الْقَتْلِ ۖ إِنَّهُ كَانَ مَنْصُورًا
Israa 33
Wala msiuwe nafsi ambayo Mwenyezi Mungu amekataza isipo kuwa kwa haki. Na aliye uliwa kwa kudhulumiwa basi tumempa madaraka mrithi wake. Lakini asipite mpaka katika kuuwa. Kwani yeye anasaidiwa.
 
Yakikufika hapa, taaluma inakaa pembeni uhalisia unachukua nafasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…