Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ahaaa ila watu ni wambea *****2015 aligombea ubunge mtwara mjini ila wananchi walimkataa na kumpiga majungu sana kisa dini yake...walidai jimbo la mtwara hawezi kuongoza mkristo, mwishowe wakampa ubunge mtu mmoja alikuwa anaitwa Maftah nachuma muislamu safi sana mwenye sijda kubwa kwatiketi ya CUF,,ila mshkaji alipochaguliwa akaoa tanga na ghafla akawa anaichangia coastal union timu ya ukweni na haitoshi akaamua kuhamia tanga na wakati huo timu ya nyumbani ndanda ilikuwa inapitia wakati mgumu mno kiuchumi
Kabisa mkuu.Wakawaida tu mkuu ,sema wabongo hatupendi kusoma vitabu ,tunapenda kusikia tu.
Zamani nilikuwa namsikiliza,ila tokea nilipoanza kusoma vitabu nimepoteza interest kabisa ya kumsikiliza huyo mwamba,naona hana jipya,kumbe ni maarifa ya vitabuni.Wakawaida tu mkuu ,sema wabongo hatupendi kusoma vitabu ,tunapenda kusikia tu.
Wabongo wavivu kusoma vitabu.Nilitegemea comment Kama hii
Umesema kweli.Kabisa mkuu.
Wabongo wavivu sana kusoma vitabu afu muhuni mmoja akitokea akasoma soma vitabu na kupiga suti na moka kali akaanza kuwapa speech basi wanaona anajua kila kitu.
In this era of science and technology mambo ni rahisi sana kila mtu anaweza kujua chochote atakacho kwa intaneti tu, si lazima mtu aje akwambie kwa kukupa speech.
Tatizo wabongo hizo intaneti wanatumia kufuatilia simba na Yanga Zuchu& Diamond na udaku udaku tu.
Wabongo wavivu kusoma vitabu.
Watanzania wanataka kubembelezwa na Motivation speakers kwa kupewa matumaini uchwara kuliko uhalisia ulivyo.
Sema jamaa naye anadanganyaga watu kuwa alikuwa best student kitaifa o - level wakati aliongoza tu baadhi ya masomo. Motivational speaker kuwa mwongo haipendezi.
Yeah sure.Zamani nilikuwa namsikiliza,ila tokea nilipoanza kusoma vitabu nimepoteza interest kabisa ya kumsikiliza huyo mwamba,naona hana jipya,kumbe ni maarifa ya vitabuni.
Hongera kwake kwa kuwa msomaji mzuri.
Kuwa vizuri kichwani nikuwaje?Jamaa anajua na yupo vzr kichwani
Kuwa vizuri kichwani nikuwaje?
Kwani wewe haupo vizuri kichwani?
Au anajua tu kushawishi halaiki ya watu wengi wakamsikiliza.
Smart kwenye nini?Huyo jamaa ni smart Sana yupo na potential
LifeSmart kwenye nini?
U MCNi kazi gani MTU ufanye ya kuongea ulipwe mil 3 wa masaa matatu hapa bongo Kama sio Karama?
Life ni dhana pana sana.Life
MwizarubiSo mwaka wake TO alikuwa nani?
Kama havunji sheria za jamhuri acha ale hela za wavivu.Yeah sure.
Tatizo lingine la wabongo ngeli shida.
Na vitabu vingi vimeandikwa kwa kiingereza hivyo wabongo hawaelewi lugha na misamiati ya vitabu hivyo.
Huyo Nanauka alichofanya ni kutafsiri hivyo vitabu kwa kiswahili, Akaongeza mawazo yake kidogo kisha akachapisha kuwauzia wavivu wasiotaka kushughulisha akili zao kutafuta maarifa.
Wabongo wengi wanataka matumaini uchwara ya kuwafariji na umaskini.
Mtu anafurahi kuambiwa,
"See you at the top" ilhali kiuhalisia ni hohehae maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.
Ndio wabongo hao.
HakikaKama havunji sheria za jamhuri acha ale hela za wavivu.