Joel Nanauka akifurahia ndoa

Walete FaizaFoxy Malaria 2
 
1. Si kweli. Vitabu na mihadhara ya mtajwa Ni myepesi Sana. Hana zaidi ya ku-copy.

2. Soma vitabu vya Dr Myles Munroe ulinganishe na Nanauka na Mauli utalia machozi.
kwani lengo kutoa elimu au kubuni kitu kipya?

mbona wewe umezikalisha kwenye boksa unatumia maarifa ya watu?

kwa nini usibuni simu yako? kwa nini utumie JFf? si utengeneze yako?
 
jamaa mjinga sana wewe, halafu watu wanaomfuatilia sio wajinga wajinga kama wewe


maana kwa akili hizo hata hivyo vitabu havikusaidii
 
inaonekana una chuki naye

Shida ya wapumbavu kuwachukia waliofanikiwa

mtu anawasaidia watu na wanatoboa halafu unasema anatafuta hela ya mafuta

Mimi namjua mentor mmoja ambaye huenda humu watu hawamjui kabisa

ila akiamua kupiga milioni 3 kwa wiki, faster tu

na ana ofisi kubwa karibu na airport DSM

sasa inakuwaje nanauka asiwe n hela?
 
Watanzania wengi wana wivu wa kijinga sana na roho za kifukara kama wachawi. Ukifuatiliaji comments za wengi humu watu roho zinawauma Ile mbaya Kwa mafanikio ya Nnanauka. Ni wachache sana Wanao appreciate mafanikio ya Joel na usmart wake kichwani.
 
Joel hahitaji uDC au uDED kwa ukwasi alionao na akili aliyonayo. Huyu alikuwa best student wa Mwaka wangu 2002-O level na form six 2005 pia alinyosha AAA.
Ukwasi unahusiana nini na u Dc au u DED?
 
washawishi wewe hao watu kama unaweza


mtu ameitwa hadi bungeni kwa kuthaminiwa mchango wake halafu anakuja mtu ameshiba mihogo na maji ya kandoro anaongea upuuzi
Tatizo la maskini choka mbaya kama wewe unadhani kuitwa bungeni ndio sifa kuu.

Wakati hao hao wabunge wenyewe wanazidiwa elimu, maarifa na fedha na watu wengi sana.

Halafu Mlala hoi kama wewe unadhani kuitwa bungeni ndio kwamba unajua kila kitu.

Una ulimbukeni na ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…