Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Sahihi, bongo wewe soma vitabu vitatu tu uwe unawapa watu story wanazopenda, tayari unakuwa genius na smart sana.Wakawaida tu mkuu ,sema wabongo hatupendi kusoma vitabu ,tunapenda kusikia tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi, bongo wewe soma vitabu vitatu tu uwe unawapa watu story wanazopenda, tayari unakuwa genius na smart sana.Wakawaida tu mkuu ,sema wabongo hatupendi kusoma vitabu ,tunapenda kusikia tu.
washawishi wewe hao watu kama unawezaKuwa vizuri kichwani nikuwaje?
Kwani wewe haupo vizuri kichwani?
Au anajua tu kushawishi halaiki ya watu wengi wakamsikiliza.
Walete FaizaFoxy Malaria 22015 aligombea ubunge mtwara mjini ila wananchi walimkataa na kumpiga majungu sana kisa dini yake...walidai jimbo la mtwara hawezi kuongoza mkristo, mwishowe wakampa ubunge mtu mmoja alikuwa anaitwa Maftah nachuma muislamu safi sana mwenye sijda kubwa kwatiketi ya CUF,,ila mshkaji alipochaguliwa akaoa tanga na ghafla akawa anaichangia coastal union timu ya ukweni na haitoshi akaamua kuhamia tanga na wakati huo timu ya nyumbani ndanda ilikuwa inapitia wakati mgumu mno kiuchumi
Cive udom, huyo rafki Yako yupo wapi Kwa sasaHuyu jamaa alifanya mwanangu ellywizzy aache chuo pale cive..
Jamaa ni motivation speaker sana aiseee
Hata ukifungua hospitali utakuwa unafanya biashara huku unawasaidia watuAnasaidia au anafanya biashara?
kwani lengo kutoa elimu au kubuni kitu kipya?1. Si kweli. Vitabu na mihadhara ya mtajwa Ni myepesi Sana. Hana zaidi ya ku-copy.
2. Soma vitabu vya Dr Myles Munroe ulinganishe na Nanauka na Mauli utalia machozi.
Pwani kuna ubaguzi mno nikuambie kitu hakuna watu wabaguzi kuwazidi waislamu
jamaa mjinga sana wewe, halafu watu wanaomfuatilia sio wajinga wajinga kama weweWATZ NI WAVIVU SANA SASA HUYU MTU ANAWADANGANYA DANGANYA NA VITU VYAKE UCHWARA UCHWARA BX MNAMUOVERATE KAMA VILE KITU SANA....ANYWAY SIWALAUMU SANA BCOZ WENGI NI ZERO BRAIN SASA MKIPEWA VITU VYA KUOKOTA OKOTA VYA WATU KAMA HAWA MNAONA NI MAGENIOUS SANA SHEENZ KABISA
wapumbavu kama wewe bora mubaguliwe tuPwani kuna ubaguzi mno nikuambie kitu hakuna watu wabaguzi kuwazidi waislamu
Upumbavu wangu ni upi?wapumbavu kama wewe bora mubaguliwe tu
inaonekana una chuki naye1. Bongo hao motivation speakers bado life linasumbua. Wengi bado wanajitafuta.
2. Ukitaka kujua jiulize mtu kama Mauki au Nanauka anaweza kualikwa kwenye talk ya maana (audience na payment nzuri) nje ya nchi? Hata kwenye vinchi vya kipuuzi kama Burundi, Malawi au Comoro? Kama jibu Ni SIO basi tambua hao jamaa ni makanjanja tu wanataka pesa ya LUKU na mafuta tu. Hawana jipya.
unajua Jamaa amewasaidia watu wangapi kuwatoa kwenye comfort zone mpaka kujitambua?Sahihi, bongo wewe soma vitabu vitatu tu uwe unawapa watu story wanazopenda, tayari unakuwa genius na smart sana.
Nimesema yupo mkoani...Cive udom, huyo rafki Yako yupo wapi Kwa sasa
Utafanyaje sasa na nishakuwa baba yako mlaumu mama yako mzazi kwa kunichanulia miguusiwezi kuwa na baba fala
Sijaona kosa langu mkuu,sijui kwa nini umepanic.mjinga sana wewe, sasa maarifa yanatoka wapi ?
kuwa kama yeye kama unaona ni rahisi
Ukwasi unahusiana nini na u Dc au u DED?Joel hahitaji uDC au uDED kwa ukwasi alionao na akili aliyonayo. Huyu alikuwa best student wa Mwaka wangu 2002-O level na form six 2005 pia alinyosha AAA.
Tatizo la maskini choka mbaya kama wewe unadhani kuitwa bungeni ndio sifa kuu.washawishi wewe hao watu kama unaweza
mtu ameitwa hadi bungeni kwa kuthaminiwa mchango wake halafu anakuja mtu ameshiba mihogo na maji ya kandoro anaongea upuuzi