Joel Nanauka ana kitu kikubwa Sana ndani yake ni moja ya vijana wenye Akili Sana

Joel Nanauka ana kitu kikubwa Sana ndani yake ni moja ya vijana wenye Akili Sana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
JOEL NANAUKA ana kitu kikubwa Sana hivyo vijana nawashauri endeleeni kusoma makala zake mtapata kitu kipya Cha kuijenga Akili yako.
Screenshot_20231116-135621.png


NB: Huyu Jamaa amewahi kuwa TO TANZANIA ONE katika matokeo ya kidato Cha nne.
 
Huyu jamaa ni contrepreneur,

Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....

Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu

Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?

Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
 
Mimi binafsi namfuautilia sana,, yuko vyema.

Kipindi sina kazi nlimfuatilia sana mpaka nikaacha kumfuatilia, ila now nataka nianze kufaitilia video zake tena.

Nliwahi kununua kitabu chake kimoja kinaitwa ''Timiza malengo yako'' na kumaliza kukisoma chote

Ana convicing power katika uongeaji wake.

Ila kama motivation speaker kwa uono wangu haina haja ya kutia mafundisho ya dini yake maana hutokuta watu wote ni wagalatia.

Aendelee kufanya tafiti zake za kitaalamu ila awe neutral kwenye mafundisho yake.

See you at the top👍
 
Huyu jamaa ni contrepreneur,

Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....

Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu

Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?

Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Mkuu wewe una chuki binafsi nae.. no body perfect kwanini umtukane kakufanya lipi kubwa?
 
Huyu jamaa ni contrepreneur,

Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....

Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu

Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?

Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Jamaa anajua kupanga maneno ila hakuna anachofundisha.
 
Back
Top Bottom