Joel Nanauka ana kitu kikubwa Sana ndani yake ni moja ya vijana wenye Akili Sana

Joel Nanauka ana kitu kikubwa Sana ndani yake ni moja ya vijana wenye Akili Sana

Anayemwona huyu Joel kama mtu mwenye akili huyo ndo hana akili. Kama una akili ukasoma maandishi yake na kumsikiliza his empty words ndo utagundua hana upekee wowote. Bora nisome nyuzi za JF kuliko kusikiliza utumbo wa jamaa yule.
 
Huyu jamaa ni contrepreneur,

Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....

Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu

Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?

Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Una point, ila ninavyoelewa, watu tupo tofauti na tuna mitazamo tofauti kufikia lengo fulani.
Njia yake ya mafanikio sio yako na haiwezi kuwa ya mwingine.
Anajaribu kutoa vitu tunavyopaswa kufanya,ambavyo ni lazima kwa yeyote anayehitaji kusogea au kupiga hatua.
Mfano wa anavyozungumzia mara nyingi;Adabu ya muda, adabu ya kazi, uaminifu, uvumilivu,kutokukata tamaa, mipango n.k.

Sio rocket science, jaribu kumsikiliza taratibu,utamuelewa na kujifunza.
 
Mara nyingi nimeona nukuu zake ni kama za kulalamika na manung'uniko zaidi. Ni kipenzi cha wanawake zaidi
 
Back
Top Bottom