DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....
sasa hiyo hela hapa ikwapi?na ana hela hela si habaView attachment 2815441
Mkuu wewe una chuki binafsi nae.. no body perfect kwanini umtukane kakufanya lipi kubwa?Huyu jamaa ni contrepreneur,
Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....
Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu
Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?
Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Ila alichokisema hapo kwenye hiyo attachment ni kweli kabisa.Motivation speaker tu huyoo ,Hana tofauti na wanasiasa ,wanaongea maneno ya kufikilika ambayo hayaendani na matendo huku mtaani ....
Labda Ana mradi, kiwanda ameajiriMotivation speaker tu huyoo ,Hana tofauti na wanasiasa ,wanaongea maneno ya kufikilika ambayo hayaendani na matendo huku mtaani ....
Inafikirisha SanaMkuu wewe una chuki binafsi nae.. no body perfect kwanini umtukane kakufanya lipi kubwa?
Huyo Jamaa ana madini Sana then mentors hata wazungu na Matajiri huwa wana Mentors wao wa kuwajenga akiliIla alichokisema hapo kwenye hiyo attachment ni kweli kabisa.
Vijana wengi tuna anguka kwenye huo mtego.
Huyo mdau aliyesema akimuona atamtukana ndio atuambie kafanywa nini na Joel Nanauka?Inafikirisha Sana
Jamaa anajua kupanga maneno ila hakuna anachofundisha.Huyu jamaa ni contrepreneur,
Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....
Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu
Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?
Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.