sportstore
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 497
- 1,769
OvaKwa hiyo ni motivation spika
Ova
Hii nchi ngumu!eti promo ya teuzi.My classmate ni full madini. Mama Samia hao ndo wakupiga nao kazi mpe teuzi. Acheni kuteua kina Chala Mila na ma konda walopokaji na wakurupukaji
57,000 USD unajua ni sh ngap we kijana?sasa hiyo hela hapa ikwapi?
maana hapo youtube wenyewe wameweka estimationa 9.7 to 57k.
Huyu ni motivational speaker tuu.
JOEL NANAUKA ana kitu kikubwa Sana hivyo vijana nawashauri endeleeni kusoma makala zake mtapata kitu kipya Cha kuijenga Akili yako.View attachment 2815437
NB: Huyu Jamaa amewahi kuwa TO TANZANIA ONE katika matokeo ya kidato Cha nne.
Huyu jamaa ni contrepreneur,
Anakuuzia njia za mafanikio/matumaini....
Wewe ndo fursa kwake, biashara yake ni kudaka macho ya watu
Hizo njia za mafanikio ndo zipoje anazifundisha miaka na miaka, kwanini asichapishe muongozo mmoja tu? Kwanini asikuambie yeye alifanyaje anakupa ushauri wa jumla jumla?
Binafsi namchukia sana na natamani nikutane nae siku moja nimtukane.
Kuna jamaa kutwa kusoma mavitabuWewe na yeye wote ma fala, hakuna cha maana na cha ajabu alichoandika hapo kama wewe ni msomaji wa vitabu, kuna watu nondo hii dunia
Huyo anashangaza watu:
- wavivu kusoma
- wasiojua kingereza.
- Naive.
- washabiki wasio na malengo
Mnapewa maneno [emoji1]Nikajua kagundua aina flani la bomu au kagundua tiba ya ugonjwa kumbe blaa blah tu za mitandaoni kama sisi wengine.
Kuwa TO hakujaleta manufaa yeyote kwa Taifa.
Kuna jamaa kutwa kusoma mavitabu
Sijui how to be reach ,bilionea
Ova
Kila mtu ana kitu na akili inategemea akili zako ziko angle gani.JOEL NANAUKA ana kitu kikubwa Sana hivyo vijana nawashauri endeleeni kusoma makala zake mtapata kitu kipya Cha kuijenga Akili yako.View attachment 2815437
NB: Huyu Jamaa amewahi kuwa TO TANZANIA ONE katika matokeo ya kidato Cha nne.
Achia JalaHaya ma Rubbish ndo maskini ya kutupa. Wenzenu porojo wanazopiga ndo hela wanapata