Kwani Magufuli asingekufa Samia angekuwa mwenyekiti sasa hivi ?Siku Chadema mkiamka nakukubali kuwa Mbowe IS NOT YOUR FUTURE, mtakiokowa chama na kusonga mbele. Huwezi kupoteza mwelekeo wa chama na ajenda zake kupotea eti kwasababu mtu mmoja ana kesi na hujui hiyo kesi itaisha lini. Ukitazama macho ya Mnyika huku mdomo umefunikwa na barakoa, utaona macho yasema let's move on guys ila mdomo usema mengine. Fikiria kama CCM wangebaki na kukumbatia yale yale ya Magufuli, mpaka leo wangekuwa hawana mwenyekiti na chama hakina muelekeo, leo wangekuwa wa wapi?
Wote mnashidwa kujibu swali, kama mwenyekiti hawezi kutimiza majukumu yake, hapotezi sifa ya kuwa mwenyekiti? Ni vikao vingapi mwenyekiti alikosa anapoteza nafasi uwenyekiti? Au katiba haina hicho kipengele? Samia amekuwa mwenyekiti baada ya Magufuli kushindwa kuendelea kutokana na umauti na ni muongozo wa kichama. Nadhani nyumba ya CDM inahitaji kujisafisha kabla ya kuonyesha vidole mambo ya kitaifa.Kwani Magufuli asingekufa Samia angekuwa mwenyekiti sasa hivi ?
Lini CCM imeacha kutumia mabavu iliyokuwa inayatumia chini ya Magu ?
Kwani mwenyekiti anaondolewe kwa kukosa kuhudhuria vikao tu ?Wote mnashidwa kujibu swali, kama mwenyekiti hawezi kutimiza majukumu yake, hapotezi sifa ya kuwa mwenyekiti? Ni vikao vingapi mwenyekiti alikosa anapoteza nafasi uwenyekiti? Au katiba haina hicho kipengele? Samia amekuwa mwenyekiti baada ya Magufuli kushindwa kuendelea kutokana na umauti na ni muongozo wa kichama. Nadhani nyumba ya CDM inahitaji kujisafisha kabla ya kuonyesha vidole mambo ya kitaifa.
Uongozi wa chama haurithishwi kama huko kwenu mnapeana hadi ubunge wa rambirambiHeche siyo tu kwamba anafaa bali kwangu Mimi kwa Kuwa kamanda Mbowe ameishasema hatogombea tena umwenyekiti wa Chama, basi huyu jamaa anafaa kumrithi Mbowe.
Kikwetu tuna msemo tunasema:
What goes around comes around.
Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.
JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.
Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.
Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.
John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.
Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.
Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.
John Heche kaokoe chama chenu.
By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.
Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.
Viva CCM.
Labda wewe utusaidie kuelewa uendeshaji wa CDM, mwenyekiti hayupo, makamu mwenyekiti hayupo. Nani kashika usukani? katibu mkuu ana majukumu yake ambayo hayawezi kuingia majukumu ya mwenyekiti au makamu mwenyekiti.Kwani mwenyekiti anaondolewe kwa kukosa kuhudhuria vikao tu ?
Au unafikri mwenyekiti wa chama ni sawa na mwenyekiti wa kamati ya Harusi yako ?
Sikubaliani. Katibu Mkuu ni mtendaji mkuu ambae anatakiwa afanye kazi zake nyuma ya huyu. Huyu kazi yake kubwa ni kuhakikisha chama chake kinaweza kufanya kazi inavyotakiwa na kinatimiza matakwa ya kisheria. Anahakikisha wafanyakazi wanalipwa, mawakili wanakuwepo kutetea wanachama, barua zinajibiwa katika wakati muafaka n.k. Huyu sio mtu wa majukwaani. Mnyika anafaa kwa hili. Heche ni mpambanaji. Ni mtu wa frontline si wa kukaa kwenye desk. Wote ni muhimu sana.Kikwetu tuna msemo tunasema:
What goes around comes around.
Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.
JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.
Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.
Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.
John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.
Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.
Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.
John Heche kaokoe chama chenu.
By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.
Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.
Viva CCM.
Kama Dr. Slaa ni bora hivyo kwa nini hamumpi u KM huko kwenu?KM sio problem; problem ni Mwenyekiti. Bila kumpumuzisha Ayatollah Mbowe, hata kama akitokea KM mwingine hodari kama Dr. Slaa, CHADEMA haitatoboa!
Kama Dr. Slaa ni bora hivyo kwa nini hamumpi u KM huko kwenu?
Amandla...
John Mnyika anatoka Kilimanjaro. Usisahau hiloKikwetu tuna msemo tunasema:
What goes around comes around.
Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.
JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.
Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.
Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.
John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.
Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.
Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.
John Heche kaokoe chama chenu.
By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.
Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.
Viva CCM.
CCM, Mkuu.Kwetu wapi tena, mkuu?
Let’s be honest. Ni KM gani wa upinzani amewahi kuwa more effective kuliko Dr. Slaa?
Mkuu, nawewe unabuy hii cheap propaganda? Kwani uongozi ni kupigana ngumi? Mnyika yuko smart na Heche pia. Muda ukifika Heche naye atakuwa katibu au mwenyekiti. Acheni tabia ya kuwavunja moyo viongozi wenu. Mazingira ya kisiasa ni magumu. Wao wako field tena ftontline wakati wewe na mimi tumejicomouflage nyuma ya keyboard tukidhani mambo ni rahisi hivyo.Naunga mkono hoja Mkuu.
it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi,[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Kikwetu tuna msemo tunasema:
What goes around comes around.
Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.
JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.
Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.
Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.
John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.
Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.
Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.
John Heche kaokoe chama chenu.
By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.
Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.
Viva CCM.
Unat to mb wa siyo bureKikwetu tuna msemo tunasema:
What goes around comes around.
Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.
JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.
Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.
Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.
John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.
Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.
Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.
John Heche kaokoe chama chenu.
By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.
Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.
Viva CCM.
Kama hata wewe umeongea basi Mnyika ana tatizo kwa viwango vya kichademaNaunga mkono hoja Mkuu.