Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,269
Haki huinua TAIFAAkihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
Kuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?Akihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
Akili kisoda zipo nyingi hiziKuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Chapisha weweKuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Kila chama kinapata ruzuku kutokana na idadi ya kura ruzuku sio hongo wala sio rushwaKuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
FaizaFoxy tumbo jotoAkihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
ccm mlichapisha na kusambaza lini mgawanyo wa ruzuku mnazopokea pamoja na mapata ya viwanja vya serikali mlivyopora.Kuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Hahaaa, kabisa watu wote hata wamasai na wasukumu wajue content za mkataba. Siku wakiambia wanatakiwa wampishe mwarabu Ngorongoro wawe wanajua ni kifungu kipi cha mkataba kimetumika kuwaondoa.Hili ni wazo nzuri ila utafsiriwe kwa kiswahili na ikiwezekana kwa kilugha.
Mfano; Kihaya, kinyakusa, kimasai, kiljaluo, kikurya, kisukuma, kimbulu, kichaga, kipare, kisafa na kadhalika.
Huu mkataba umeonyesha sifa zote za uslayueen anazo.Hamia Sahani Sururu a.k.a slayqueen!
Bro,, Shule zitusaidiage kujibu Hoja.Mimi CCM Lakini Hapo umechemka kujibu hoja nyie Ndio mnaofanya Watu watudharauKuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
hao vibaraka wakimaliza hizo pesa walizopewa watatulia. Mkataba umeshapita tunasubiri utekelezaji. Hao wananchi amewafundisha mpaka waweze kuuelewa wakati hata yeye mwenyewe ameshindwa kuuelewa. CHADEMA kweli imechoka, chama cha kudandia ajenda hawanaga ajenda zao. Leo wanamsifu Magufuli, wanafiki wakubwaAkihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.