Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tutusa unajua maana yake? Ni tatu hadi kingiAmetumia google translate usiwe tutusa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutusa unajua maana yake? Ni tatu hadi kingiAmetumia google translate usiwe tutusa!
AsanteKuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?asante
😂😂😂 Sahihi kabisa!Tutusa unajua maana yake? Ni tatu hadi kingi
Umesali wapi leo? Kwa Mbiso Mbezi Beach au kwa Kimaro Kijitonyama?😂😂😂 Sahihi kabisa!
Kuna mtu ameuliza wewe ni Chadema au Chadubai?SISI WANA CHADEMA TUNATAKA TUPEWE KOPI ZA MATUMIZI YA RUZUKU TUNASHINDWA KUELEWA IWAJE MPAKA LEO HII CHAMA KIPO HOI,ISPOKUWA TUNASIKIA TU VIONGOZI WANA MAJUMBA LUKUKI DUBAI,SOUTH AFRICA.
N.B,TUNAUTAKA MUHTASARI WA MATUMIZI.
Akili hii ndiyo inapita nchi nzima kutetea mkataba mbovu!! Kimsingi huna akiliKuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Niko Kimara kwa Matsahi tunahubiriwa na Askofu Mtetemela Kutoka Anglikana Iringa!Umesali wapi leo? Kwa Mbiso Mbezi Beach au kwa Kimaro Kijitonyama?
Tasfiri ya FaizaFoxy haifai, atakuwa katumia lugha laini ya kumrembaremba mwarabuFaizaFoxy keshautafsiri so uchukueni muuchapishe tu!
Akihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
Lissu anasema hajauza wala hajakodisha maana hakuna bei ya mauziano. Bali amekabidhi bure!Libibi akiuza taifa
Umewahi kulewa pombe?Huu n ujinga Saba chadema ni chama Cha wahuni tu
Mkataba unasema jukumu la kuendeleza bandari yoyote Tanganyika ni jukumu la DP World. Huyo SSH anataka kuendeleza bandari ya Bagamoyo ya Zanzibar au ya Kenya?Mimi nadhani kuwe na malengo/miradi ya kitaifa ambayo haiwezi kuzuiliwa na kiongozi yeyote. Mfano: mradi wa kujenga bandari ya Bagamoyo, JK aliuanzisha, JPM akaukataa na sasa SSH anataka kuuendeleza.
Tranlation ya Kihaya?Akihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
Libibi ni wa ajabu sanaLissu anasema hajauza wala hajakodisha maana hakuna bei ya mauziano. Bali amekabidhi bure!
Sasa swali anauliza, je amepewa nini au ameahidiwa nini hadi akaamua kukabidhi bandari zote? Ameonjeshwa nini?
Una akili timamu.?Mkataba unasema jukumu la kuendeleza bandari yoyote Tanganyika ni jukumu la DP World. Huyo SSH anataka kuendeleza bandari ya Bagamoyo ya Zanzibar au ya Kenya?
Mgawanyo wa ruzuku unawahusu wao Chadema..Kuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Naomba tafsiri ya kiswahili kwa PDF na mimi nianze kusambaza huku UKTayari mkoa wa Mbeya, Arusha , Mwanza , Kilimanjaro, Dar , Geita, Shinyanga, Mara , Dodoma, kazi ya kusambaza nakala mkataba huo imekwisha anza Kwa kuwapatia wananchi wote nakala.
Makamanda mikoani kazi iendelee!!