Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Mkataba gan wa google translateWewe ndio hueleweki
Mkataba upo Hapa Jf kwa Lugha ya kiswahili sasa unabisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba gan wa google translateWewe ndio hueleweki
Mkataba upo Hapa Jf kwa Lugha ya kiswahili sasa unabisha nini?
😂😂😂Mkataba gan wa google translate
Sasa huu si uuchapishe wewe? Maana hata wanaochapisha mkataba siyo CCM ni Chadema. So na CCM nao wachapishe ya Cd.Kuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Unajaribu kubadili madaKuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Google translation? Ile tafsiri ya hovyo sijapata kuona.FaizaFoxy keshautafsiri so uchukueni muuchapishe tu!
Mnasambaza maoni yenu nasio mkataba ili mtu mwenye akili anajua fika.Tayari mkoa wa Mbeya, Arusha , Mwanza , Kilimanjaro, Dar , Geita, Shinyanga, Mara , Dodoma, kazi ya kusambaza nakala mkataba huo imekwisha anza Kwa kuwapatia wananchi wote nakala.
Makamanda mikoani kazi iendelee!!
KumekuchaAkihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
Tumia mfano hai..!Una akili timamu.?
Umeelewa nilichokiandika.?
Huoni nimesema neno mfano hapo.?
Achana na huo , sisi tunaleta mkataba halisiFaizaFoxy keshautafsiri so uchukueni muuchapishe tu!
😂😂🔥Achana na huo , sisi tunaleta mkataba halisi
Usiwaamini upinzani, watahongwa kesho tu watakaa kimya. Umesahau wakati wa kikwete?Akihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
Mkuu mbon una hasira hutaki mkataba usambazwe mpaka vijiweni?Kuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Ni haki ya Kila mwanachama kujua mapato na matumizi ya ruzuku ya chama. Wachapishieni wajua. Hiyo sio Mali ya viongozi wa chama tu!Kila chama kinapata ruzuku kutokana na idadi ya kura ruzuku sio hongo wala sio rushwa
Njoo kwenye tawi langu la chama nikuoneshe mgawo wetu tuliopewa kutokana na ruzuku. Na kwa taarifa yako, leo tumetumia kiasi kukodi basi la kutupeleka kwenye Mkutano wa KATIBU Mkuu wa CCM Kirumba! Cheza na CCM wewe!!!!ccm mlichapisha na kusambaza lini mgawanyo wa ruzuku mnazopokea pamoja na mapata ya viwanja vya serikali mlivyopora.
Wewe mjuaji ungejibuje Ili usidharaurike?Bro,, Shule zitusaidiage kujibu Hoja.Mimi CCM Lakini Hapo umechemka kujibu hoja nyie Ndio mnaofanya Watu watudharau
Dogo hapo ndipo unapokosea. Kama Chadema wanaamini wanaweza kusimamia mambo makubwa kama mikataba ya kimataifa, kwanini wasianze na hivyo unavyoviita vidogo Ili tuone genuinety yao kwenye mambo makubwa?Sorry mm si fan wa chadema wala mwanachama. Ila hiyo Comparison ya kitoto kabisa, utafananisha mkataba wa nchi klishu sensitive na chama?
Mlishaambiwa hata kwa kilatini “ locuta causa finita “ 😅 yaani hiyo issue imeisha !! 😅 Ngoja Tusubiri tuone !!Akihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
Mimi sina akili. Sawa. Ila nimeandika, ukasome na ujaona ujibu kabisa! Wewe nani? Ahahahahaha!!!Akili hii ndiyo inapita nchi nzima kutetea mkataba mbovu!! Kimsingi huna akili
Alizotafsiri bi fox Zina najisi ,hazifai Kwa matumizi ya binafamu!!FaizaFoxy keshautafsiri so uchukueni muuchapishe tu!
Kakudanganya nani huyo? Ndiyo mawazo mnataka wananchi wenye akili kama Watanzania wawape kura? Ahahahahaha! Thubutu!!!!Mgawanyo wa ruzuku unawahusu wao Chadema..
Mkataba kati ya DP World na Tanzania unahusu wananchi na hatma ya nchi yao..