Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ila una take time kujibu hoja ambayo sio hoja! Uko vizuri Dogo!Ungekua nahoja tayali ningesha kujibu ndio maana nimekubali kua wewe nimtoto wa shule inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila una take time kujibu hoja ambayo sio hoja! Uko vizuri Dogo!Ungekua nahoja tayali ningesha kujibu ndio maana nimekubali kua wewe nimtoto wa shule inatosha
Hivi lini ccm wamechapisha ruzuku yao wanaopata serikalini? Kwamaana ndiyo kinapokea ruzuku kubwaKuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Hama kweli ni Hamia Ashanti SululuHamia Sahani Sururu a.k.a slayqueen!
HaswaaMgawanyo wa ruzuku unawahusu wao Chadema..
Mkataba kati ya DP World na Tanzania unahusu wananchi na hatma ya nchi yao..
Wamaekani wameongeza muda wa maombi ya Visa, hawataki tena watu kutoka taifa la wajingawajingaKiufupi huu mkataba umetutia AIBU watanzania kimataifa yani Watz wote tunaonekana wapumbavu kwa sababu ya wapumbavu wachache wenye tamaa
Walimwengu wataanza hata kuitilia shaka TZ Law School na products wanazotoa Kisa tu baadhi ya WANASIASA MAPUMBAFFFF
Wazo zuri, hata redio zimebuni vipindi vya simulizi, ambapo mtu anasoma hadhi tu. Mkataba uwekwe kwenye audio kwa lugha ya kiengereza na tafsiri yake kwa kiswahiliHuu mkataba Siyo tu kuusambaza tu bali utafsiriwe kwa lugha zote za Tanganyika na iwekwe audio ili mtanganyika ausome au kuusikiliza hata kama hajui kusoma na kuandika