John Heche: Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na Dubai

John Heche: Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na Dubai

Safi sana.tunasubili ili wtz wayajue mahovyo hovyo yaliyomo kwenye mkataba wa kihuni wa vilaza na dp world
Binafsi nimependa walivyopangilia huu utoaji wa elimu. Awamu ya kwanza mikutano ya kitaifa. Awamu ya pili kusambaza nakala. Yaani nchi inakuwa na hekaheka mwanzo mwisho hadi aliyeziba masikio kwa mikono atazibua tu.
 
Tayari mkoa wa Mbeya, Arusha , Mwanza , Kilimanjaro, Dar , Geita, Shinyanga, Mara , Dodoma, kazi ya kusambaza nakala mkataba huo imekwisha anza Kwa kuwapatia wananchi wote nakala.

Makamanda mikoani kazi iendelee!!
watafungia chapati hivyo vikaratasi vyenu vya kufoji. Wananchi9 wameshauelewa mkataba ni mzuri kinachosubiriwa ni utekelezaji
 
Akihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
Wa Kiingereza au Kiswahili?

Maana wa Kiingereza hata huyo Samia aliyeusaini mwenyewe kausaini wakati hajauelewa.
 
wanachapisha wapi kama ni mtandaoni sawa ila kwa mfumo wa karatasi nashauri hizo fedha wangeanza walau kumwaga mawe ya ujenzi wa jengo la ofisi
Kuliko kujenga ofisi kwenye ardhi ya mwarabu bora hiyo ofisi waijenge kwenye mioyo ya watu. Kwa huu mkataba hata kujenga ofisi au kitega uchumi chochote ni kujilisha upepo kwa sababu hujui mwarabu atalitaka eneo lako au la.
Mfano, wakimaliza kujenga mwarabu akalitaka eneo lao, serikali inawaondoa kumpisha mwarabu watakuwa wamefanya kazi bure.
 
Kuliko kujenga ofisi kwenye ardhi ya mwarabu bora hiyo ofisi waijenge kwenye mioyo ya watu. Kwa huu mkataba hata kujenga ofisi au kitega uchumi chochote ni kujilisha upepo kwa sababu hujui mwarabu atalitaka eneo lako au la.
Mfano, wakimaliza kujenga mwarabu akalitaka eneo lao, serikali inawaondoa kumpisha mwarabu watakuwa wamefanya kazi bure.
eti ofisi za mioyoni nchi inavituko sana
 
hao vibaraka wakimaliza hizo pesa walizopewa watatulia. Mkataba umeshapita tunasubiri utekelezaji. Hao wananchi amewafundisha mpaka waweze kuuelewa wakati hata yeye mwenyewe ameshindwa kuuelewa. CHADEMA kweli imechoka, chama cha kudandia ajenda hawanaga ajenda zao. Leo wanamsifu Magufuli, wanafiki wakubwa
Mwarabu hata hana mpango wa kuutekeleza, angekuwa na nia angeshatekeleza zamani. Miezi 10 mambo iko kimya tu. Sasa anasubiri siku zitimie akufungue kesi avune mipesa ya kuvunjiwa mkataba.
 
Kuuchapisha na kuusambaza ndio suluhisho? Mbona wao Chadema hawajawahi kuuchapisha na kuusambaza mgawanyo wa ruzuku wanazopokea Toka Serikalini?
Sio suala la kitaifa. Mkataba ni suala la kitaifa ndio maana Magu alikuwa anafanya live coverage kila alipokuwa anasaini mikataba.
 
Akihutumia maelfu ya wananchi wa Muleba 29.07.2023, mh Heche amesema Chadema itachapisha na kusambaza nakala za mkataba wa Samia na DP world hadi vijiweni.
My take: Ngoma inazidi kuwa tamu. Hakuna neno litakalo baki limestirika. Wanabaki uchi wa mnyama.
SISI WANA CHADEMA TUNATAKA TUPEWE KOPI ZA MATUMIZI YA RUZUKU TUNASHINDWA KUELEWA IWAJE MPAKA LEO HII CHAMA KIPO HOI,ISPOKUWA TUNASIKIA TU VIONGOZI WANA MAJUMBA LUKUKI DUBAI,SOUTH AFRICA.
N.B,TUNAUTAKA MUHTASARI WA MATUMIZI.
 
Back
Top Bottom