Dada hebu tuliza kishundu hicho.Atoe ushahidi wa Samia kumpa Mbowe hela ili ashinde uchaguzi chadema. Hakuna mtu mwenye haki ya kuumiza wengine na yeye asiumie!! Slaa ameleta damage kubwa sana kwa heshima ya Mbowe acha alipie gharama yake mshenzi mkubwa.
mwalimu umeshaandika barua ya kuomba kusimamia uchaguzi ...kama bado andika weka pahala isubilie mudaNa uzee ule yupo kubeba kesi
Sawa mkuumwalimu umeshaandika barua ya kuomba kusimamia uchaguzi ...kama bado andika weka pahala isubilie muda
Atawaambia Watanzania kuwa Dr Slaa kafia gerezani.Hapo jana Februari 12, akiwa kwenye mkutano wake wa hadhara Sirari, jimbo la Tarime vijijini, Makamu Mwenyekiti Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche amehoji juu ya kukamatwa na kunyimwa dhamana kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Slaa na pia endapo akifariki taarifa itakayotolewa itakuwa ya aina gani.
Soma: Kesi ya Dkt. Slaa imeahirishwa mpaka Februari 18, 2025
"Mzee kama Dkt. Slaa mzee wa miaka 76 amekuwa mbunge kwa miaka 15, amekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa Balozi,unamkamata kesi ambayo ina dhamana unatumia mahakama kumuangamiza, hivi akikufia Rais Samia unamtoaje unatuambiaje watu? kwamba amekufa tu kifo cha kawaida, leo wakakuambia Dkt. Slaa hatupo naye tena unawaambiaje watanzania"
Kosa lake ni kuacha Upadri na kumuoa Josephine Mshumbushi, ambaye alikuwa mke wa mtuIla huyu mama hadi aibu..
Hivi Dr Slaa kosa lake kubwa ni lipi?
Yeye mama Abdul hilo linamhusu nini sasa au anamuonea wivu huyo josephineKosa lake ni kuacha Upadri na kumuoa Josephine Mshumbushi, ambaye alikuwa mke wa mtu
Kwa hiyo mama Abdul kawa mtetezi wa Lisu na Mbowe?Kosa lake la kukiita chama cha chadema magaidi ktk kitabu chake, mbowe ni gaidi na Lissu kajipiga risasi
Sikujua kama wewe ni mke wa mboweAtoe ushahidi wa Samia kumpa Mbowe hela ili ashinde uchaguzi chadema. Hakuna mtu mwenye haki ya kuumiza wengine na yeye asiumie!! Slaa ameleta damage kubwa sana kwa heshima ya Mbowe acha alipie gharama yake mshenzi mkubwa.
Tunajuwa kabisa DR Slaa alikuwa anaongea na kuokosoa kadri ya matakwa ya wanaompa hela. Slaa ni sawa na malaya wa Bar ya Kimboka pale Buguruni, hutoka na mwanaume yeyote atakaye mpa hela. Kesho CCM wakimpa hela atawafagiliaYeye mama Abdul hilo linamhusu nini sasa au anamuonea wivu huyo josephine
Kusema uongo.Ila huyu mama hadi aibu..
Hivi Dr Slaa kosa lake kubwa ni lipi?
Hapo jana Februari 12, akiwa kwenye mkutano wake wa hadhara Sirari, jimbo la Tarime vijijini, Makamu Mwenyekiti Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche amehoji juu ya kukamatwa na kunyimwa dhamana kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Slaa na pia endapo akifariki taarifa itakayotolewa itakuwa ya aina gani.
Soma: Kesi ya Dkt. Slaa imeahirishwa mpaka Februari 18, 2025
"Mzee kama Dkt. Slaa mzee wa miaka 76 amekuwa mbunge kwa miaka 15, amekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa Balozi,unamkamata kesi ambayo ina dhamana unatumia mahakama kumuangamiza, hivi akikufia Rais Samia unamtoaje unatuambiaje watu? kwamba amekufa tu kifo cha kawaida, leo wakakuambia Dkt. Slaa hatupo naye tena unawaambiaje watanzania"
Kuna sehemu nyingi za kupumzisha akili.Hapo jana Februari 12, akiwa kwenye mkutano wake wa hadhara Sirari, jimbo la Tarime vijijini, Makamu Mwenyekiti Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche amehoji juu ya kukamatwa na kunyimwa dhamana kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Slaa na pia endapo akifariki taarifa itakayotolewa itakuwa ya aina gani.
Soma: Kesi ya Dkt. Slaa imeahirishwa mpaka Februari 18, 2025
"Mzee kama Dkt. Slaa mzee wa miaka 76 amekuwa mbunge kwa miaka 15, amekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa Balozi,unamkamata kesi ambayo ina dhamana unatumia mahakama kumuangamiza, hivi akikufia Rais Samia unamtoaje unatuambiaje watu? kwamba amekufa tu kifo cha kawaida, leo wakakuambia Dkt. Slaa hatupo naye tena unawaambiaje watanzania"
Kitulize kwanza cha mama yako kikitulia kakitulize cha Lissu maana Amsterdam amemuacha.Dada hebu tuliza kishundu hicho.
Imepenya eeh?? Naona kinakuchonyota maana aliyekukuna kalala chato tafuta mwingine.Sikujua kama wewe ni mke wa mbowe
Kuwa mkweli at the very wrong moment.Ila huyu mama hadi aibu..
Hivi Dr Slaa kosa lake kubwa ni lipi?
Muungano wa hovyo sana huu. Mtu unanyanyaswa na mgeni nchini kwako?!Ila huyu mama hadi aibu..
Hivi Dr Slaa kosa lake kubwa ni lipi?
Kwahiyo sasa wanataka rais aingilie mahakama?Hapo jana Februari 12, akiwa kwenye mkutano wake wa hadhara Sirari, jimbo la Tarime vijijini, Makamu Mwenyekiti Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche amehoji juu ya kukamatwa na kunyimwa dhamana kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Slaa na pia endapo akifariki taarifa itakayotolewa itakuwa ya aina gani.
Soma: Kesi ya Dkt. Slaa imeahirishwa mpaka Februari 18, 2025
"Mzee kama Dkt. Slaa mzee wa miaka 76 amekuwa mbunge kwa miaka 15, amekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa Balozi,unamkamata kesi ambayo ina dhamana unatumia mahakama kumuangamiza, hivi akikufia Rais Samia unamtoaje unatuambiaje watu? kwamba amekufa tu kifo cha kawaida, leo wakakuambia Dkt. Slaa hatupo naye tena unawaambiaje watanzania"
Mama ndio kamfunga slaa?Ila huyu mama hadi aibu..
Hivi Dr Slaa kosa lake kubwa ni lipi?
Hakimu wa Kisutu na mwendesha mashtaka wametoka Malawi?Muungano wa hovyo sana huu. Mtu unanyanyaswa na mgeni nchini kwako?!