They work for satan.Hakimu wa Kisutu na mwendesha mashtaka wametoka Malawi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
They work for satan.Hakimu wa Kisutu na mwendesha mashtaka wametoka Malawi?
Satan anaishi wapiThey work for satan.
Satan lives in high places of the darkness of this satanic world.Satan anaishi wapi
There you goSatan lives in high places of the darkness of this satanic world.
There goes your fucking mother.There you go
Thanks satan
Kwani atakuwa Mzee wa kwanza kuuliwa?
DuuhHapo jana Februari 12, akiwa kwenye mkutano wake wa hadhara Sirari, jimbo la Tarime vijijini, Makamu Mwenyekiti Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche amehoji juu ya kukamatwa na kunyimwa dhamana kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Wilbroad Slaa na pia endapo akifariki taarifa itakayotolewa itakuwa ya aina gani.
Soma: Kesi ya Dkt. Slaa imeahirishwa mpaka Februari 18, 2025
"Mzee kama Dkt. Slaa mzee wa miaka 76 amekuwa mbunge kwa miaka 15, amekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA amekuwa Balozi,unamkamata kesi ambayo ina dhamana unatumia mahakama kumuangamiza, hivi akikufia Rais Samia unamtoaje unatuambiaje watu? kwamba amekufa tu kifo cha kawaida, leo wakakuambia Dkt. Slaa hatupo naye tena unawaambiaje watanzania"
Hehehe.....Alishiba kidogo tu. Au pengine Magu alimwambia akatoe nenoHuyu mraibu wa kubet anadhani Kikongwe Slaa ndio yuko gerezani Peke yake. Huyu si alisema Lissu kajipiga risasi, na mbowe ni gaidi. Karma is bitch.
Thanks my fucking mother…. The satanThere goes your fucking mother.
angemsifia mama yenu kwenye mitandao mngempongeza pumbafu senuhuyu mzee ni kichaa tu yaani umri huo bado unakesha kwnye mitandao kuongea ujinga wacha asote ndiyo anachokitaka umaarufu wa kijinga
Hizi sasa ndio SIASA Safi, nashukuru Leo tumeungana kumkemea SAMIA. Asante Ndugu CrimeaIla huyu mama hadi aibu..
Hivi Dr Slaa kosa lake kubwa ni lipi?
Dr Slaa ni mtata sana tokea atoke upadre aingie siasa akiwa CCM,wakamtosa akahamia Chadema.Acha aendelee kusota rumande sababu anaweza kuja kukengeuka kwenye kipindi cha kampeni kama mwaka 2015 akawapa ushindi CCM dakika za lala salama!
Ni baada ya kupinga bandari za Tanganyika kupewa waarabu huku za Zanzibar zikiwa salama, huo ndio unaita utata wa Dr Slaa?!Kauli zake alipoteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden na pale alipopumzishwa akaendelea kujikaanga hadi serikali ya CCM wakamchoka wakamvua cheo cha kuitwa Ambassador.
Alimtungia Lisu kitabu anasema hafai,ni porojo tu lakini Lissu alipoazimia kugombea akamumwagia sifa tele.
Kwa hiyo ulitaka abebe mshumbwanda wako ? Sasa hiko kinyesi atakiweza kweli.Na uzee ule yupo kubeba kesi
Muulize baba ako kinyesi Cha mama ako alikiwezaje.....umbwaaaKwa hiyo ulitaka abebe mshumbwanda wako ? Sasa hiko kinyesi atakiweza kweli.
Alipanga afie kwa shemeji yako aleyekulipia school fee.Atawaambia Watanzania kuwa Dr Slaa kafia gerezani.
Kwani yeye Heche alipanga Dr Slaa afie wapi?
😄😄😄. Nimeshamuuliza anasema aliweza baada ya kujifunza kumkoboa Mama Ako.Muulize baba ako kinyesi Cha mama ako alikiwezaje.....umbwaaa