Pre GE2025 John Heche: Dkt. Slaa akifia Gerezani, Rais Samia atawaambia nini Wananchi? Uonevu ni kitu kibaya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu mraibu wa kubet anadhani Kikongwe Slaa ndio yuko gerezani Peke yake. Huyu si alisema Lissu kajipiga risasi, na mbowe ni gaidi. Karma is bitch.
 
Duuh
 
Huyu mraibu wa kubet anadhani Kikongwe Slaa ndio yuko gerezani Peke yake. Huyu si alisema Lissu kajipiga risasi, na mbowe ni gaidi. Karma is bitch.
Hehehe.....Alishiba kidogo tu. Au pengine Magu alimwambia akatoe neno
 
huyu mzee ni kichaa tu yaani umri huo bado unakesha kwnye mitandao kuongea ujinga wacha asote ndiyo anachokitaka umaarufu wa kijinga
angemsifia mama yenu kwenye mitandao mngempongeza pumbafu senu
 
Acha aendelee kusota rumande sababu anaweza kuja kukengeuka kwenye kipindi cha kampeni kama mwaka 2015 akawapa ushindi CCM dakika za lala salama!
Dr Slaa ni mtata sana tokea atoke upadre aingie siasa akiwa CCM,wakamtosa akahamia Chadema.
Ndoa zake,uongozi wake mwishoni baada ya kunyimwa kugombea Uraisi kupitia Chadema.
Kauli zake alipoteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden na pale alipopumzishwa akaendelea kujikaanga hadi serikali ya CCM wakamchoka wakamvua cheo cha kuitwa Ambassador.
Alimtungia Lisu kitabu anasema hafai,ni porojo tu lakini Lissu alipoazimia kugombea akamumwagia sifa tele.

Selikali imuachie mzee huyo kwakuwa hana madhara,lakini akitoka jela aachane na siasa aende aishi kwa watawa akiomba kwa Muumba wake.
 
Ni baada ya kupinga bandari za Tanganyika kupewa waarabu huku za Zanzibar zikiwa salama, huo ndio unaita utata wa Dr Slaa?!
 
Atawaambia Watanzania kuwa Dr Slaa kafia gerezani.

Kwani yeye Heche alipanga Dr Slaa afie wapi?
Alipanga afie kwa shemeji yako aleyekulipia school fee.

Vipi kwani dada yako bado yuko palepale alipopanga chumba kimoja na sebule ?
 
Muulize baba ako kinyesi Cha mama ako alikiwezaje.....umbwaaa
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„. Nimeshamuuliza anasema aliweza baada ya kujifunza kumkoboa Mama Ako.

Vipi mdogo wako aliezaa na dingi wa ManFilandu ajambo ? Nasikia sasa hivi kawa shoga eti eti eti ni kweli πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…