Pre GE2025 John Heche: Dkt. Slaa akifia Gerezani, Rais Samia atawaambia nini Wananchi? Uonevu ni kitu kibaya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Atoe ushahidi wa Samia kumpa Mbowe hela ili ashinde uchaguzi chadema. Hakuna mtu mwenye haki ya kuumiza wengine na yeye asiumie!! Slaa ameleta damage kubwa sana kwa heshima ya Mbowe acha alipie gharama yake mshenzi mkubwa.
Mzee safari hii kaingia cha kike,atanyooka

Wanaompenda sana,wamfuate huko mahabusu
 
Ni baada ya kupinga bandari za Tanganyika kupewa waarabu huku za Zanzibar zikiwa salama, huo ndio unaita utata wa Dr Slaa?!
Wewe uliyepewa hizo bandari kutoka kuvunjika Afrika Mashariki umefanya nini?
Kama huelewi kitu nyamaza.
 
Wanavyokufa wengine Rais huwa anawaambiaga Nini watanzania? Akili za nyumbu hizo. Hawanaga hoja wanadandia tu vioja
 
Mbowe ni gaidi.
 
Tokea maafande jela wakuinamishe siku hizi unakuwa unalingaaaaa mwenyeweee !!!
Kwa hio hii ndio umeona ni bonge la tusi?πŸ˜€

Tunasema hivi,Acha kelele kama una mahaba nae sana kuzidi mkewe mfuate mahabusu
 
Kwa hio hii ndio umeona ni bonge la tusi?πŸ˜€

Tunasema hivi,Acha kelele kama una mahaba nae sana kuzidi mkewe mfuate mahabusu
Hauwezi kuona ni tusi kwa sababu ushazoea kuinamishwa na kukumbatiwa.

Daaa kweli mazoea yanatabu
 
Hauwezi kuona ni tusi kwa sababu ushazoea kuinamishwa na kukumbatiwa.

Daaa kweli mazoea yanatabu
Kama unampenda kuzidi mkewe mfuate mahabusu,mkitoka humo wote mmenyooka,mdomo mdomo utaisha
 
Kama unampenda kuzidi mkewe mfuate mahabusu,mkitoka humo wote mmenyooka,mdomo mdomo utaisha
Hapana Beibi, Man filandu amekupenda wewe tu, maana SGR ya mchongoko imesimama wima. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…